msanii.. kuna watu wanaishi kule; ninachochokoza hapa ni kina nani wanaishi kule? Itakuwaje kama Waziri kampangishia kimada wake kule au watoto wa mkaza mjomba?
Sasa anaishi nani kule?
Utakuta nyumba zote hizo zimeshaandikishwa majina ya mawaziri kuwa wanaishi humo kwa malengo. End of 2015 wata kaa kikao chao cha baraza lao na kuamua kuwa wauziwe kwani si vizuri wakistaafu halafu hawana pa kuishi, unakumbuka mwisho wa kipindi cha BWK?. Theoretically kwa sasa watakuwa wanaishi mawaziri lakini practically nafikiri zitakuwa ni nyumba za Tandu na buibui.
.....sijakuelewa ati!
kwa kweli.. napenda sana kujua nani anaishi kule..
Sio larisi kwa hawa mawaziri kuweza kukaa pamoja, si wamoja wameunganishwa na nia yao ya kutaka vyeo lakini sio watu wanaoshabihiyana. Wengi walijaribu naona sasa wamerudi kwenye nyumba zao. halafu si unajua tena kamati za ufundi kwa hawa watu hazikauki.
Hivi nani aliwaza kuwaweka mawaziri pamoja kama hostel vile?
Ukitaka wahamie waambie watauziwa! Hata kama hazina swimming pool!
Amandla.....
Mawaziri wenye nyumba zao binafsi kama vile Husen Mwinyi na hao wengine, kwa nini wakaishi pale kambini?
Hata mimi ningeendelea kuishi kwangu kuliko kesho naondolewa uwaziri halafu nahamisha virago vyangu.
Hata uncle Karume kaamua aishi kwenye kasri lake na kuikacha ikulu aliyopangiwa!
sasa nani wanaishi kwenye hizo nyumba jamani; we have established kwamba mawaziri na manaibu wao wengi hawaishi huko. Je ziko tupu?