sasa nani wanaishi kwenye hizo nyumba jamani; we have established kwamba mawaziri na manaibu wao wengi hawaishi huko. Je ziko tupu?
Duuh Mkuu Mwanakijiji........hebu tuachie tupumue kidogo.....maana ile hoja ya kuuza nyumba za kule O'bay....tuliipitisha kwa taabu sana.......je unafikiri tulimaanisha kile tulichojengea hoja?....shoot!