NYUMBA yenye eneo NAUZA

NYUMBA yenye eneo NAUZA

Mpevu

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
1,803
Reaction score
179
Napenda kuwatangazia wadau wote kuwa nauza nyumba yangu yenye eneo kubwa kutosheleza ujenzi mwingine upande wa mbele, nyumba ipo Kipunguni mashariki jijini Dar. Ukiwa Kitunda relini, upande wa mashariki ndipo ilipo nyumba hiyo.

DHUMUNI LA KUUZA:
Ni kutokana na hali ngumu kabisa kimaisha hivyo nipate kufanya biashara na kujikwamua. Bei ni 18m tu.

Kwa mawasiliano: 0762-123133 au 0715-887777

NB: Najitahidi kubandika picha maana nipo safari mikoani, nitabandika picha.

Ahsanteni.
 
Nyumba yako imekwepa bomoa bomoa itakayokuja maeneo hayo! Isije kuwa umeshalipwa fidia halafu unataka kuiuza
 
Hapana wakuu, nyumba hii mpaka sasa hakuna malipo yoyote zaidi ya propaganda kuwa wanalihitaji eneo hilo. Hakuna process yoyote iliyokwishafanywa kwa ajili ya kulihitaji eneo hilo.
 
Napenda kuwatangazia wadau wote kuwa nauza nyumba yangu yenye eneo kubwa kutosheleza ujenzi mwingine upande wa mbele, nyumba ipo Kipunguni mashariki jijini Dar. Ukiwa Kitunda relini, upande wa mashariki ndipo ilipo nyumba hiyo.

DHUMUNI LA KUUZA:
Ni kutokana na hali ngumu kabisa kimaisha hivyo nipate kufanya biashara na kujikwamua. Bei ni 18m tu.

Kwa mawasiliano: 0762-123133 au 0715-887777

NB: Najitahidi kubandika picha maana nipo safari mikoani, nitabandika picha.

Ahsanteni.
Hivi hiyo nyumba bado ipo na eneo lake?
 
The business is over wakuu.
 
Back
Top Bottom