Kakojolee huo moto utazima.Nyumba yangu inateketea kwa moto wana JF hali ni mbaya kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa nimeshindwa kuelewa nifanyaje
Wewe jirushe tu humo ndani itasaidiaNyumba yangu inateketea kwa moto wana JF hali ni mbaya kuna mali nyingi ndani ikiwemo pesa zangu za akiba ila kikubwa mke wangu na watoto hawapo ndani naombeni ushauri nifanyaje kuiokoa nimeshindwa kuelewa nifanyaje
🤣🤣🤣Ingia na wewe uteketee mkuu!
Maisha yenyewe haya hayaeleweki nchi imeuzwa!