Majungu. Na visasi ndiyo vitapelekea kilio kikuu kwa ccm 2020 yetu macho.
Bomoa.....Bomoa.... hakuna kuangalia sura...
Cowards at workMwambieni kubenea atoe tamko..
kwaakili yako, kama angeendelea kuwa CCM angeachiwa! cio?[/UOTE]
Sumaye mwenyewe aliwa kusema akiwa mjini Moshi kuwa ukitaka mambo yako yakunyookee ingia CCM!!
Na wale wa Jangwani ni msukumo wa kuhamia wapi? ACT?
Visasi Tu, Ikiwa Ni Kweli Ni Serious Issues Kuna WATU WENGI Wenye Nyadhifa Serikalini Na CHAMA Chao Wanaomiliki Majengo MAENEO SIO!!! NADHANI Kusiwepo Na Double Standard Ktk Hilo!!
Haki na wajibu ndio msingi wa Sheria. Ikithibitika ni eneo la wazi, lisisalie hata jiwe!
Serikali iendelee kubomoa nyumba za wananchi wakidai kuwa "wamevamia" maeneo. Ila ijiandae kulipa mabilioni ya fidia baada ya kuthibitika kuwa ni serikali yenyewe hiyohiyo ilitoa hati za umiliki na wala sio "uvamizi" kama inavyojinasibu. Tusubiri tuone.
aisee isije ikawa ni msukumo wa kuamia chadema