Nyumba ya Reginald Mengi kukumbwa na bomoa bomoa

Nyumba ya Reginald Mengi kukumbwa na bomoa bomoa

Attachments

  • 1451494804649.jpg
    1451494804649.jpg
    37.3 KB · Views: 74
Kama kweli Sheria ni msumeno basi Kituo cha Mabasi yaendayo kasi DART kimejengwa kabisa katika maeneo yachini zaidi ya hizo nyumba zinazo bomolewa.
ukweli tatizo sio mafuriko ila ni watu wa chini kumiliki viwanja karibu na mji...Naamini kabisa bonde la msimbazi lilivo pana linaweza kupanuliwa kwa chini njia za maji kuelekea baharini ikawa yanakwenda bila ya shida. lakini badala ya kuziba tatizo sie tunayakimbia mafuriko kama kweli sababu ndio hizo.
ni wazi kama DART wamejenga chini kwenye kabisa ya jengo basi tatizo sio mafuriko. mafuriko yanaweza kabisa kabisa kutafutiwa ufumbuzi wa kudumu...
 
Duh. Mengi anaishi kinondoni? Kinondoni gani?
 
Sheria ni msumeno. Mwenyekiti WA mazingira hakufuata taratibu na sheria za mazingira kabla hajajenga nyumba yake!
Sheria ya mazingira imetungwa baada ya ujenzi wa nyumba. Hakuna anayehoji hilo
 
Kweli serikali ya magufuli haibagui sijui baada ya hapo magazeti na ITV watakuwa wanatoa tarifa zipoje kuhusu serikali ya magufuli.
 
Kama unachoeleza kutendwa na wizara chini ya Lukuvi ni kweli jee lile hekalu la mama mch.Rwakatare mbona wanaliogopa na kuvunja za pembeni yake tu? Unaweza au waziri mhusika kutupa sababu?
Wanatafutwa wataalam toka nje ya nchi wa kuvunja maghorofa..... Napita tu...
 
Sitoshangaa kusikia hili la bomoa bomoa kusudi lake lilikuwa yeye,hii ndio Tanzania yetu bwana.
Haya sheria na ifuate mkondo wake,kwa Mengi hata kama atapata athari sio kubwa sana ukilinganisha na wananchi wa kipato cha chini.
funika kombe mwanaharamu apite..
 
Wanatafutwa wataalam toka nje ya nchi wa kuvunja maghorofa..... Napita tu...
Tunafanya mawasiliano na makampuni ya ukandarasi kutoka China na Thailand na kama mambo yataenda kama yalivyopangwa tunatarajia jengo hilo na mengine kama hayo hadi ifikapo mwishoni mwa mwaka 2019 yatakuwa yamekwisha vunjwa yote..
 
Nadhani hapo Jirani ya mengi kuna nyumba ya saidi mwema kipindi kile cha nyumba zao zilizingirwa maji zote,. Ya said mwema nayo itabomolewa au yenyewe imefuata taratibu?
 
hayo ndiyo malipo ya " unafiki " na " undumilakuwili " wake. napenda sana lile movi lenye title ya " pay back ". wataisoma wengi na hapo bado.
Hahaha starring mwenyewe ray, Jambazi muhogo mchungu hio ni movie au?
 
Sheria ni msumeno. Mwenyekiti WA mazingira hakufuata taratibu na sheria za mazingira kabla hajajenga nyumba yake!
Harafu kuna issue inanikera mie binafsi. Unasikia Hata watu mawaziri na wanaosimamia sheria zetu eti zoezi hili halitaangalia NAFASI Wala cheo cha mtu. Mimi hapo hata akili huwa inasimama. Sasa lini sheria inaangalia nafasi ama cheo ???? Sisi bado Sana
 
Tatizo litakuja kwenye sheria. Nadhani ana hati miliki ya eneo lake sasa ngoma ndio itakuja hapo.
yes atakua nayo kama wengine walionazo, lakini huhitaji macho kuona kuwa kiwanja hapo hakikuwepo, sema kunya anye kuku akinya bata shida, kwani nyumba y amama lwakatare ilishavunjwa?
 
Hiyo nyumba Mengi aliuziwa na mhindi akaingia kichwa kichwa,tulimshauri mzee lakini hakusikia ingawa mafuriko yalikuwa yakimuathiri mara kwa mara.

nyumba ya mengi ya kinondoni, kwa ndani ni nzuri kinoma, ila ile rangi ya kijani aliyoipaka nje ya ukuta wa fensi sio nzuri leipzig
 
Back
Top Bottom