Nyumba ya Reginald Mengi kukumbwa na bomoa bomoa

mchajikobe

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
2,661
1,267
Nyumba ya mwenyekiti wa makampuni ya IPP Media, Bw. Reginald Mengi iliyopo mitaa ya Kinondoni, ambayo ndio anayoishi, leo hii imepigwa alama ya X kwa ajili ya zoezi la bomoa bomoa linaloendelea mitaa hii ya Kinondoni!
 
Jaribu kukamilisha habari yako mkuu, ikiwemo na kutuwekea chanzo cha habari. Au iweke kama tetesi ili tutafute confirmation ili kukamilisha tetesi
 
Nyumba ya mwenyekiti wa makampuni ya IPP bw reginald mengi iliyopo mitaa ya kinondoni,ambayo ndio anayoishi leo hii imepigwa alama ya x kwaajili ya zoezi la bomoa bomoa linaloendelea mitaa hii ya kinondoni!

Hii ndio serikali ya Magufuli, hakuna kambale wala dagaa kwake wote sawa, ngoja tuone utekelezaji wake
 
Sheria ni msumeno. Mwenyekiti WA mazingira hakufuata taratibu na sheria za mazingira kabla hajajenga nyumba yake!
 
Sitoshangaa kusikia hili la bomoa bomoa kusudi lake lilikuwa yeye,hii ndio Tanzania yetu bwana.
Haya sheria na ifuate mkondo wake,kwa Mengi hata kama atapata athari sio kubwa sana ukilinganisha na wananchi wa kipato cha chini.
 
Jaribu kukamilisha habari yako mkuu, ikiwemo na kutuwekea chanzo cha habari. Au iweke kama tetesi ili tutafute confirmation ili kukamilisha tetesi
Amekuambia imelambwa "X" sasa source ya habari ya kazi gani na.makolokolo mengine hayo?
 
Sitoshangaa kusikia hili la bomoa bomoa kusudi lake lilikuwa yeye,hii ndio Tanzania yetu bwana.
Haya sheria na ifuate mkondo wake,kwa Mengi hata kama atapata athari sio kubwa sana ukilinganisha na wananchi wa kipato cha chini.

Nikweli nifan Nakuunga mkono dada yangu. Swali: Je vipi Mbona hiyo sheria ambayo haipindishwi Na hakuna anayeogopewa inagwaya kumuweka hadharani Na kumchukulia serious measures mmiliki wa UDA aliyeiingizia hasara nchi ye2 Na kujilimbikizia mali?

Mbona hawi-arrested kama wale wabandari? Au bado hajulikani? Lakini gari Zake zimewekwa kizuizini? Basi kama hajajiokeza zile Gari zigawiwe Kwa wananchi kila vijana 10 wapewe UDA moja wawe wanapokea hesabu Kwa siku kusolve problem ya ajira.au ndiyo ile hadisi imeishia hapo.fanani amekwenda mapumziko?
 
Sitoshangaa kusikia hili la bomoa bomoa kusudi lake lilikuwa yeye,hii ndio Tanzania yetu bwana.
Haya sheria na ifuate mkondo wake,kwa Mengi hata kama atapata athari sio kubwa sana ukilinganisha na wananchi wa kipato cha chini.

Mawazo ya kiukawaukawa ni ya kijinga tu.
 
Kuwekewa X sio tatizo cha muhimu serikali iandae kitita cha kutosha kumfidia mwananchi.
Mengi aweza kuwa mbovu kwenye uamuzi ila naamini hawezi kuwa mbovu kujenga pasipo ruhusiwa.
 
Back
Top Bottom