Bomoa bomoa nayo inatengeneza ajira, acheni kuangalia mambo kwa jicho moja au kwa kukariri kuwa ajira ni kuvaa tai na kushika kalamu tu.Angeanza na hilo la ajira wengi wangemuelewa, hili la bomoabomoa si zani kama kuna yoyote anaefaidika.
Bomoa bomoa nayo inatengeneza ajira, acheni kuangalia mambo kwa jicho moja au kwa kukariri kuwa ajira ni kuvaa tai na kushika kalamu tu.Angeanza na hilo la ajira wengi wangemuelewa, hili la bomoabomoa si zani kama kuna yoyote anaefaidika.
Weka pichaNyumba ya mwenyekiti wa makampuni ya IPP Bw Reginald Mengi iliyopo mitaa ya Kinondoni, ambayo ndio anayoishi leo hii imepigwa alama ya X kwaajili ya zoezi la bomoa bomoa linaloendelea mitaa hii ya Kinondoni!
Nzuri hiyoNakuunga mkono!
Sheria ni msumeno. Mwenyekiti WA mazingira hakufuata taratibu na sheria za mazingira kabla hajajenga nyumba yake!
Ni kweli sababu hata bomoa bomoa ya mara ya kwanza walimuandikia ibomolewe lkn haikubomolewa waliobomolewa ni walalahoi wasio kuwa na hati na. MengineyoTatizo litakuja kwenye sheria. Nadhani ana hati miliki ya eneo lake sasa ngoma ndio itakuja hapo.
Liko bondeni na pia ni open space ni pamoja na zile ofisi za UNLinavunjwa kwani liko bondeni au open space?
Weka picha
tinga bomoa bomoa kabisa hiyo nyumba ya huyo mengiNyumba ya mwenyekiti wa makampuni ya IPP Bw Reginald Mengi iliyopo mitaa ya Kinondoni, ambayo ndio anayoishi leo hii imepigwa alama ya X kwaajili ya zoezi la bomoa bomoa linaloendelea mitaa hii ya Kinondoni!
Nyumba zote zilizopo mabondeni zitavunjwa bila kujali mwenyewe ni nani ! Hatizamwi mtu inatizamwa location ya nyumba mahali ilipo! Kwa hiyo hii thread isilenge kuonyesha mtu fulani kaonewa
Tatizo litakuja kwenye sheria. Nadhani ana hati miliki ya eneo lake sasa ngoma ndio itakuja hapo.
Hawawezi kugusa hao ni ccm piwaHivi hekalu la mama rwekatare bado?
Hawawezi kugusa hiyo nyumbaNdugu kwa sheria ya ardhi, mmiliki wa ardhi ni Rais. Hivyo Rais anaweza kurevoke hati miliki ya plot au shamba lako anytime.
Hawawezi kugusa hiyo nyumba
Kuna watu mna matatizi ya akiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,Nikweli nifan Nakuunga mkono dada yangu. Swali: Je vipi Mbona hiyo sheria ambayo haipindishwi Na hakuna anayeogopewa inagwaya kumuweka hadharani Na kumchukulia serious measures mmiliki wa UDA aliyeiingizia hasara nchi ye2 Na kujilimbikizia mali?
Mbona hawi-arrested kama wale wabandari? Au bado hajulikani? Lakini gari Zake zimewekwa kizuizini? Basi kama hajajiokeza zile Gari zigawiwe Kwa wananchi kila vijana 10 wapewe UDA moja wawe wanapokea hesabu Kwa siku kusolve problem ya ajira.au ndiyo ile hadisi imeishia hapo.fanani amekwenda mapumziko?