Nyumba ya Mengi hapa Machame sasa inamilikwa na wifi yetu

Nimekulia hapa Machame jirani kabisa na Nyumbani kwa Marehemu Mengi,kwa mujibu wa taratibu tunazojua sisi mke ndiye mmiliki wa nyumba iliyoachwa na marehemu

Jacky hajawahi kuishi huku tangu kuolewa na Mengi na kwa taraibu ni kwamba kuanzia sasa atamiliki yeye na watoto wake mapacha mpaka kifo kitakapo waondoa hapa duniani

Watoto wawili wakubwa wa Mengi ambao ni rika zetu hawana chao hapa hasa ukizingatia baba yake Mengi alitoka kijiji cha Mkuu akanunua hili shamba na kumrithisha Mengi naye akajenga hii nyumba jirani kabisa na mto weruweru

Nia na madhumuni yangu kuandika waraka huu ni kutokana na mawazo niliyo nayo juu ya hatma ya mila na desturi za kichaga jinsi zinavyoendelea kuharibiwa na watu wanaoitwa wanaume wa kichaga
tumejionea wenyewe wanaume wanavyokufa mapema sio wachaga tuu hata makabila mengine

Lakini kwa mtazamo wangu kabila hili lina mila zake maalum ndio maana ni vigumu sana kununua au kuuza ardhi huku uchagani. Wanaume wa kichaga wanachangia sana kuharibu mila na tamaduni zetu kwa kutuletea wanawake na kuwarithisha boma kinyume na mila zetu

Unaenda huko unatuletea moli wa kabila lingine halafu unakufa halafu huyo moli analeta ndugu zake wasiojua jinsi babu zetu walivyapambana kutuwekea mazingira katika hali hii tuliyo nayo

Ndugu zangu babu zetu wakifanya kazi na mangi wa machame walifanya kazi kubwa sana,nakumbuka babu yangu aliyezaliwa mwaka 1911 aliniambia baba yake aliyezaliwa mwaka 1870 ni mmojawapo wa wanajeshi walienda kijiji kinaitwa lyamungo kuzuia wakibosho kuendelea kusonga mbele kufyeka msitu wakisogelea maeneo ya machame

Ilibidi wanajeshi na majemedari wa kimachame wajitoe muhanga kupambana na hili kabila la kikibosho kuzuia ufyekaji wa msitu huku wakisogelea machame. Kuna watu wamepambana kufanya machame iwe hivi kama illivyo, haikuwa kazi rahisi kama tunavyofikiri

Mnatuletea wanawake wa makabila mengine mnawaacha hapa kwenye maboma ya kurithi halafu mnakufa mapema hao wanawake wanaleta ndugu zao kuvuruga taratibu zetu za heshima za mila na desturi halafu mkishakufa mnawaacha hawa wanawake bado vijana wanaolewa na wanaume wengine wanawaleta pale kwenye ile miji ya kurithi

Sijapenda sana jinsi hali inavyoedelea ni kujaribu kulifuta kabila la kichaga
huyo jacky alivyo na nyodo atawasumbua sana watoto wa Mengi wakitaka kuja likizo huku machame anaweza asiwaruhusu kukaa pale nyumbani kwa bab yao
naomba wanaume wa kichaga mfikirie ukubwa wa matatizo mnayotuletea huku kijijini
yani umeandika makala ndefu ya kibaguzi, kweli makonda aliliona hili
 
Usibane sana ubongo wako kwenye fikra ,kwahiyo mila na desturi za kukeketa huwezi kemea eti kisa sio zenu? Huoni kwamba zinawaumiza na kuwabagua wanawake ? Usije na pointi ambazo hazijashiba

Utamaduni wa kukeketa ni wao,wewe unakuhusu nini?

Aliekuambia kukeketa ni vibaya ni Mzungu,yeye anaona ni vibaya kwake na sio kabila as a civilization....

Hapa ni kwamba unatumia lensi gani..

Mwenye mila zake wacha akae na mila zake,na wewe unazo za kwako...hakuna jamii inayojifanya yenyewe ni kiranja wa ustaarabu wa jamii ingine!

Wao ni wachagga,waache....na wewe ni kabila jingine,kaa kivyako,ilimradi mila zao hazijakuletea maumivu wewe maana hazikuhusu..

Sijui huu wivu wa mila za wengine mnaupata wapi?

Na mamlaka ya kukemea mila za wengine mnazipata wapi?
 
yani umeandika makala ndefu ya kibaguzi, kweli makonda aliliona hili

Kambagua nani wakati ka-state mila zao zinasemaje?

Mila na desturi za jamii A lazima ziwe baguzi kwa jamii B ili hii jamii A iweze ku-survive!

Otherwise unataka kabila A life?

Life ili wewe kabila lako liendelee kuwepo?

Mpuuzi wewe!
 
Mkuu

Nadhani jamaa ana emotional feelings na kabila lake,ni haki yake...

Lazima waangalie survival of their own kind,ni normal animal instinct mzee!

Ni haki yao mzee!

Na wewe una kabila lako,kama ukiona linapotea halafu hu-feel lolote hata sense of protection utakua huna survival instincts!

I can fully understand all this!
Ila jamaa una mawazo chanya sana.Big up.Mtu anakuja tu na kusema ni ubaguzi,mara sijui chuki.C'mon!! that,s not enough..
 
Andiko lako linaonyesha kabisa una roho ya aina gani alf jitathmini inawezekana mawazo na tabia kama zako ndo zinazofanya hao wanaume wa kichaga unaowazungumzia wasioe huko kwenu uchagani
 
hivi ubagauzi unaousemea wewe ni upi hasa?

Maana sikuelewi ujue!

Hivi kama watu wana celebrate their culture,wanasifia kwao,wanaenzi ardhi yao,wanaenzi mila zao(hata kama ni za kibaguzi kwako),wana celebrate wanawake wao,matajiri zao,etc hivi wewe kinachokuuma ni kipi hapo?

Waache watu wafanye yao kuendana na jamii yao ilivyo na jinsi wanavyotaka!

Shida ni kama kwenye kutoa huduma za kiserikali au kibinadamu au huduma zilizotajawa na katiba halafu mtu anatumia vigezo vya kabila kutoa upendeleo maalumu kutoa huduma hizi ndio kosa!

Wewe una kabila lako...lina beautiful people,lina ardhi,lina mila zake,etc yanini usilisemee?

Sijaona kibaya chochote...

Kama mila zao zinasema,ardhi zao hairuhusiwi kuridhisha mtu wa kabila lingine ni sawa tu...kabila lipo pale kukutetea watu wa kabila hilo husika na sio kabila lingine.

Kila kabila lina "ancestral land" yake which is there for them otherwise watu wengine wanaweza kuichukua na hiyo jamii ikawa landless forever!

Hebu waacheni watu wa celebrate their origins,ili mradi hawajamtukana mtu!

Hakuna haja ya kuwaonea wivu au kukasirika au kuwaonea vibaya...waacheni jamani!
Mkuu,siku hizi hata ukipigania Uafrica/Utanganyka wako against foreign destructive ideas,unaitwa mbaguzi,mara sijui xenophobic.Neno ubaguzi siku hizi linatumiwa hovyo hovy tu,very pathetic.
 
Mkuu

Mi nadhani hamna haja ya ugomvi....yeye kusifia mila zao wala sio ubaguzi,ni kwamba tu umekua rubbed the wrong way!

Yeye muache asifie mila zao,watu wao,ardhi yao,nk...

Kibaya ni kama anatumia vitu hivyo kutoa upendeleo fulani wa kihuduma au kimaslahi kwa watu wao ambapo ni kinyume cha sheria..

Ila mengine yote ya mila,sijui kuoana,sijui ardhi yao,sijui watu wao,etc..ni haki yake kuongelea na kusifia kadri anavyotaka yeye!

Wala huna haja ya kuumia au kumsema vibaya.

Wewe pia una kabila lako,lisifie utakavyo nobody will care!

Ni kama nije nikuambie nawapenda wazazi wangu sana,ni matajiri,ni watu poa....sio shida maana kila mtu ana wazazi...muache asifie ni vizuri tu,sio shida!

Wewe unapokua offended ndio unanishangaza,hamna haja ya kua hivyo mzee!
Does this apply to religion (s)?
 
hivi ubagauzi unaousemea wewe ni upi hasa?

Maana sikuelewi ujue!

Hivi kama watu wana celebrate their culture,wanasifia kwao,wanaenzi ardhi yao,wanaenzi mila zao(hata kama ni za kibaguzi kwako),wana celebrate wanawake wao,matajiri zao,etc hivi wewe kinachokuuma ni kipi hapo?

Waache watu wafanye yao kuendana na jamii yao ilivyo na jinsi wanavyotaka!

Shida ni kama kwenye kutoa huduma za kiserikali au kibinadamu au huduma zilizotajawa na katiba halafu mtu anatumia vigezo vya kabila kutoa upendeleo maalumu kutoa huduma hizi ndio kosa!

Wewe una kabila lako...lina beautiful people,lina ardhi,lina mila zake,etc yanini usilisemee?

Sijaona kibaya chochote...

Kama mila zao zinasema,ardhi zao hairuhusiwi kuridhisha mtu wa kabila lingine ni sawa tu...kabila lipo pale kukutetea watu wa kabila hilo husika na sio kabila lingine.

Kila kabila lina "ancestral land" yake which is there for them otherwise watu wengine wanaweza kuichukua na hiyo jamii ikawa landless forever!

Hebu waacheni watu wa celebrate their origins,ili mradi hawajamtukana mtu!

Hakuna haja ya kuwaonea wivu au kukasirika au kuwaonea vibaya...waacheni jamani!
Does this apply to religion as well??
 
Nyie ni wachaga wa wapi,kawaida ya mila za watu wa kaskazini urithi wa mashamba,nyumba,biashara ni urithi wa watoto tena wa kiume hivyo mjane atakuwa msimamizi tu hadi watoto watakavyo fikisha umri wa utu uzima.
Unavyo sema ataolewa utaratibu ni kwamba akiolewa ataenda kwa mume wake mpya bila hata ndoo ya maji.Kwahiyo mawifi wa dar mnaojiita wachaga mtulie.Uchagani kuna taratibu na mila zenye hekima sio upuuzi mnao fanya kwenye jiji la kiazi madereva.
Mkuu naomba kuuliza, ni nini hekima ya huo urithi kuwa ni wa watoto wa kiume??
 
Mengi alifunga ndoa kimila? Kama mke wake sio Mmachsme na ndoa haikufungwa kwa hizo mila, unapataje ujasiri wa kutangaza kuwa watoto wengine wa Mengi hawana haki juu ya hiyo nyumba?

Vv
 
Lakini ukumbuke hata wanawake wengi wachaga wameolewa na makabila mengine tena kibaya zaidi hugeuka kuwa mwiba mchungu hasa kwenye maswala ya mali!
 
Ni wamoja kama state nation..

Ila kuna distinct 120 groups of people!

Lazima uheshimu these people na their origins maana wana millenia of emotional attachments to their distinct ancestors!

Huwezi ua hizi origins wewe!

Waache watu na origins zao,then waunge kwenye statehood kama collection of groups of people!

Huwezi ua origins za watu eti ujenge jamii mpya kabisa,itakua jamii feki hiyo!

Our differences ndio our strengths!
hapa ndipo wengi tunapofeli
 
Nimekulia hapa Machame jirani kabisa na Nyumbani kwa Marehemu Mengi,kwa mujibu wa taratibu tunazojua sisi mke ndiye mmiliki wa nyumba iliyoachwa na marehemu

Jacky hajawahi kuishi huku tangu kuolewa na Mengi na kwa taraibu ni kwamba kuanzia sasa atamiliki yeye na watoto wake mapacha mpaka kifo kitakapo waondoa hapa duniani

Watoto wawili wakubwa wa Mengi ambao ni rika zetu hawana chao hapa hasa ukizingatia baba yake Mengi alitoka kijiji cha Mkuu akanunua hili shamba na kumrithisha Mengi naye akajenga hii nyumba jirani kabisa na mto weruweru

Nia na madhumuni yangu kuandika waraka huu ni kutokana na mawazo niliyo nayo juu ya hatma ya mila na desturi za kichaga jinsi zinavyoendelea kuharibiwa na watu wanaoitwa wanaume wa kichaga
tumejionea wenyewe wanaume wanavyokufa mapema sio wachaga tuu hata makabila mengine

Lakini kwa mtazamo wangu kabila hili lina mila zake maalum ndio maana ni vigumu sana kununua au kuuza ardhi huku uchagani. Wanaume wa kichaga wanachangia sana kuharibu mila na tamaduni zetu kwa kutuletea wanawake na kuwarithisha boma kinyume na mila zetu

Unaenda huko unatuletea moli wa kabila lingine halafu unakufa halafu huyo moli analeta ndugu zake wasiojua jinsi babu zetu walivyapambana kutuwekea mazingira katika hali hii tuliyo nayo

Ndugu zangu babu zetu wakifanya kazi na mangi wa machame walifanya kazi kubwa sana,nakumbuka babu yangu aliyezaliwa mwaka 1911 aliniambia baba yake aliyezaliwa mwaka 1870 ni mmojawapo wa wanajeshi walienda kijiji kinaitwa lyamungo kuzuia wakibosho kuendelea kusonga mbele kufyeka msitu wakisogelea maeneo ya machame

Ilibidi wanajeshi na majemedari wa kimachame wajitoe muhanga kupambana na hili kabila la kikibosho kuzuia ufyekaji wa msitu huku wakisogelea machame. Kuna watu wamepambana kufanya machame iwe hivi kama illivyo, haikuwa kazi rahisi kama tunavyofikiri

Mnatuletea wanawake wa makabila mengine mnawaacha hapa kwenye maboma ya kurithi halafu mnakufa mapema hao wanawake wanaleta ndugu zao kuvuruga taratibu zetu za heshima za mila na desturi halafu mkishakufa mnawaacha hawa wanawake bado vijana wanaolewa na wanaume wengine wanawaleta pale kwenye ile miji ya kurithi

Sijapenda sana jinsi hali inavyoedelea ni kujaribu kulifuta kabila la kichaga
huyo jacky alivyo na nyodo atawasumbua sana watoto wa Mengi wakitaka kuja likizo huku machame anaweza asiwaruhusu kukaa pale nyumbani kwa bab yao
naomba wanaume wa kichaga mfikirie ukubwa wa matatizo mnayotuletea huku kijijini
Wewe Ni mmachame wale wakali wa kuwauwa waume zao EEE.
 
Back
Top Bottom