Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare yapigwa X

Borat69

JF-Expert Member
Jun 17, 2012
2,526
1,757
Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare iliyopo Kawe Beach Mtaa wa Ally Sykes imepigwa X na kuandikwa maneno "BOMOA" mchana huu.

My take: kuna watu huwa wanalalamika kuhusu huu ubomoaji ni uonevu kwa maskini. Tuache kulalamika na tufuate sheria.

Mchungaji Lwakatare sio hohehahe lakini sheria imempitia.

Source: Mimi mwenyewe.


1451574272704.jpg
1451574293526.jpg

1451574335051.jpg
 
Last edited by a moderator:
itabomolewa lini...tunataka ibomolewe leo leo kabla mwaka haujaisha
 
siwatetei ila mchungaji atajenga nyingine sasahivi, hao wa kigogo 'polepole ndio mwendo!
 
Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare iliyopo Kawe Beach Mtaa wa Ally Sykes imepigwa X na kuandikwa maneno "BOMOA" mchana huu.
My take: kuna watu huwa wanalalamika kuhusu huu ubomoaji ni uonevu kwa maskini. Tuache kulalamika na tufuate sheria.
Mchungaji Lwakatare sio hohehahe lakini sheria imempitia.

Source: Mimi mwenyewe.
weka picha tyuione hiyo alama ya mala "X" aliyowekewa
mama mtumishi Lwakatare.
 
Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare iliyopo Kawe Beach Mtaa wa Ally Sykes imepigwa X na kuandikwa maneno "BOMOA" mchana huu.
My take: kuna watu huwa wanalalamika kuhusu huu ubomoaji ni uonevu kwa maskini. Tuache kulalamika na tufuate sheria.
Mchungaji Lwakatare sio hohehahe lakini sheria imempitia.

Source: Mimi mwenyewe.
Na ni ccm huyu
 
Nimetumiwa na mtu dakika chache zilizopita
 

Attachments

  • 1451574272704.jpg
    1451574272704.jpg
    40.3 KB · Views: 185
  • 1451574293526.jpg
    1451574293526.jpg
    35.2 KB · Views: 169
  • 1451574311013.jpg
    1451574311013.jpg
    40.5 KB · Views: 158
  • 1451574335051.jpg
    1451574335051.jpg
    58.8 KB · Views: 196
Nielekeze jinsi ya kuweka picha kutoka kwenye simu mkuu.
Nenda kwenye fanya kama unacomment then angalia juu kulia kuna vialama vitatu vinashuka chini, gusa katika hivo vialama then utaona "attach picture" itakuuliza kwenye gallery au Camera utaugusa hiyo pic yako then utagusa attachment juu tena kulia utaweka na manenp machache maana kureply bila maneno juu haitawezekana alafu utaachia mzigo hapa
 
Nenda kwenye fanya kama unacomment then angalia juu kulia kuna vialama vitatu vinashuka chini, gusa katika hivo vialama then utaona "attach picture" itakuuliza kwenye gallery au Camera utaugusa hiyo pic yako then utagusa attachment juu tena kulia utaweka na manenp machache maana kureply bila maneno juu haitawezekana alafu utaachia mzigo hapa


Mambo hayo
 

Attachments

  • 1451574626942.jpg
    1451574626942.jpg
    33.8 KB · Views: 131
  • 1451574665166.jpg
    1451574665166.jpg
    56.8 KB · Views: 141
  • 1451574680526.jpg
    1451574680526.jpg
    39.2 KB · Views: 145
Nenda kwenye fanya kama unacomment then angalia juu kulia kuna vialama vitatu vinashuka chini, gusa katika hivo vialama then utaona "attach picture" itakuuliza kwenye gallery au Camera utaugusa hiyo pic yako then utagusa attachment juu tena kulia utaweka na manenp machache maana kureply bila maneno juu haitawezekana alafu utaachia mzigo hapa
 
Sasa rwakatale si anaenda kanisani anapigisha harambeee anajenga ingine
Kwa hiyo masikini/hohehahe akivunja sheria asichukuliwe hatua!!???? Maana kuna watu Kama wewe mlikuwa mnalia kwamba walala hoi wanaonewa na hii BOMOA BOMOA.
Point sio kujenga nyingine. Point hapa ni kwamba sheria ni msumeno katika awamu ya 5.
 
Sasa rwakatale si anaenda kanisani anapigisha harambeee anajenga ingine


Angalia usitoke nje ya mada kwa ushabiki usiokuwa na maana! Lengo siyo kumkomoa mama Lwakatare bali lengo ni kurudisha maeneo yaliyojengwa sehemu ambazo hazipaswi kujengwa, kama mama Lwakatare akienda akajenga mavila mengine 50 maadamu ni sehemu inayoruhusiwa hakuna atakayembughudhi na ni haki kufanya hivyo ili mradi havunji sheria za nchi!
 
Ninazo kwenye simu mkuu. Kama unaweza kunielekeza jinsi ya kuziweka nitashukuru.
Kama unatumia app. ya JF wakati upo kwenye uwanja wa kuandikia unaenda kwenye menu unapata option ya attach picture, una attach then una-upload.
 
Back
Top Bottom