Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,855
- 27,023
Kumbe wanawake mnaona wanaume ni maku? Kumbe kuwa mwanamke ni tusi,?Na ninakujua nyoko ww!!! Hamna sehem ya kublock nim block uyu msela
Kumbe wanawake mnaona wanaume ni maku? Kumbe kuwa mwanamke ni tusi,?Na ninakujua nyoko ww!!! Hamna sehem ya kublock nim block uyu msela
Jf sio ya babako ukikerwa hama wewe😅😅upumbavu kama huu usilete humu jf.
takataka kama hizi peleka fb
Kumbe wanawake mnaona wanaume ni maku? Kumbe kuwa mwanamke ni tusi
Acha kabisa 🤣🤣🤣Nilivyoaza kusoma nilijua una issue ya maana sana kumbe ni utopolo plus.
njugu a.k.a mbaazi zinaleta kisirani sana...🙃❗hauumwi kweli? maana nyuzi zako zinaelezea mengi sana.
I shall give you a good plans ❌Do you want to open your own boss? I shall give you a good plans....do you have capital???
Nitafsilie ❌Sijui ki english bhn🙈
Mbaga Jr nitafsilie
Bosi naomba uandike tu Kiswahili maana kama si stress basi unajizima data kwa hiki ulichoandika.Oh wow!!! It s reduce stresses may be I shall get a relief cause I m mentality disorder as people say
😁😁😁SawaBosi naomba uandike tu Kiswahili maana kama si stress basi unajizima data kwa hiki ulichoandika.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
I shall give you a good plans ❌
I shall give you the good plans ✅
Ubinadamu ni kazi/The humanity is
Acha chizi aandike na kingereza man nimeolewa!!!🤣Bosi naomba uandike tu Kiswahili maana kama si stress basi unajizima data kwa hiki ulichoandika.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Acha kabisa
Ujakosea humo humo Yani usipokaa vizuri nitakuroga jichunguze!!!Wewe ni aina ya wale watu wanao anza kuwa wachawi mdogo mdogo mdogo.
Acha ukorofi basiJamani nipo kwenye nyumba ya kupanga ,tunaishi familia mbili tu Sasa basi mimi ni mfanyabiashara,iyo familia nyingine mwanamke ni mama wa nyumbani mume wake mchakalikaji Yani ameajiliwa anachonikera huyu dada ambaye ni mke wa jamaa.
Siku nikishinda nyumbani ni kuimba imba manyimbo mda wote Asubuhi,mchana,jioni ye nikuimba imba tu mar wimbo huu aimbe kidogo aache aimbe huu aache kwangu naona makelele siku nikishinda nyumbani kwasababu Kuna mda nahitaji utulivu haiwezekani ni makelele tu
Kingine walichonikera hii familia nilopanganayo wamelima maeneo yote yanayozunguka hawajaniachia ata kieneo nilime na mimi ata mboga tu ni wabinafsi kwani wanavyonitawala kama nyumba Yao!!!
Na bwana ake alinitongoza siku nimeanza tu kukaa hapa nasubir uyo mwanamke siku aseme fyooo nivujishe message za mume wake nimuoneshe bidada!!! Nimezitunza kwenye email au siku tu mume wake aseme fyoko niziachie nyoko Hawa nakaa nao basi tu hasa walivyoninyima eneo la kulima Nina visilani nao,siku wakaniletea chakula na cake walimfanyia mtoto birthday nikapokea nikasubiri Giza liingie nikamwagia huko nyama ,pilau na cake Yao msyuuuu
Mzee Unawagonga Nyundo sio mchezo kama kifimbo cheza!Bosi naomba uandike tu Kiswahili maana kama si stress basi unajizima data kwa hiki ulichoandika.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.