Nyumba ya kupanga!

Nyumba ya kupanga!

You don t knoe the source keep silent
Umedharau chakula ingawa pia chakula unacholetewa kwa kupitia watoto kwa namna nyingi hua sio kizuri watu wabaya huwatumia watoto kuupenyeza ubaya wao wewe utamuamini mtoto kumbe kuna mbaya kafanya yake kampa mtoto mpelekee fulani wewe unajichekesha kumbe unaingia kwenye mfumo
 
Mwanamke akifike miaka 30 hajaolewa Ila anapigwa na kuachwa anachanganikiwa

Huyu yupo katika panic mode
 
Jamani nipo kwenye nyumba ya kupanga ,tunaishi familia mbili tu Sasa basi mimi ni mfanyabiashara,iyo familia nyingine mwanamke ni mama wa nyumbani mume wake mchakalikaji Yani ameajiliwa anachonikera huyu dada ambaye ni mke wa jamaa.

siku nikishinda nyumbani ni kuimba imba manyimbo mda wote Asubuhi,mchana,jioni ye nikuimba imba tu mar wimbo huu aimbe kidogo aache aimbe huu aache kwangu naona makelele siku nikishinda nyumbani kwasababu Kuna mda nahitaji utulivu haiwezekani ni makelele tu

kingine walichonikera hii familia nilopanganayo wamelima maeneo yote yanayozunguka hawajaniachia ata kieneo nilime na mimi ata mboga tu ni wabinafsi kwani wanavyonitawala kama nyumba Yao!!!


Na bwana ake alinitongoza siku nimeanza tu kukaa hapa nasubir uyo mwanamke siku aseme fyooo nivujishe message za mume wake nimuoneshe bidada!!! Nimezitunza kwenye email au siku tu mume wake aseme fyoko niziachie nyoko Hawa nakaa nao basi tu hasa walivyoninyima eneo la kulima Nina visilani nao,siku wakaniletea chakula na cake walimfanyia mtoto birthday nikapokea nikasubiri Giza liingie nikamwagia huko nyama ,pilau na cake Yao msyuuuu
Samahani, Unafanya biashara gani..?
Maana hiki kiburi sio poa.
 
Umedharau chakula ingawa pia chakula unacholetewa kwa kupitia watu kwa namna nyingi hua sio kizuri watu wabaya huwatumia watoto kuupenyeza ubaya wao wewe utamuamini mtoto kumbe kuna mbaya kafanya yake kampa mtoto mpelekee fulani wewe unajichekesha kumbe unaingia kwenye mfumo
We were not ok for a long time!!! Then mtu anakupa chakula for wat
 
Umedharau chakula ingawa pia chakula unacholetewa kwa kupitia watoto kwa namna nyingi hua sio kizuri watu wabaya huwatumia watoto kuupenyeza ubaya wao wewe utamuamini mtoto kumbe kuna mbaya kafanya yake kampa mtoto mpelekee fulani wewe unajichekesha kumbe unaingia kwenye mfumo
We mjinga hauoni mtoa mada ni chizi
 
Back
Top Bottom