Nyumba ndogo!

the bottom line mapenzi ni two way traffick.....
sio jukumu la mama peke yake kulea ndoa....
kama mmoja anakosea mwingine anapaswa kutafuta solusheni ndani na sio kwenda nje.....kwa vimada,kuna ukimwi mtakufa muache watoto yatima bureeee........
 
What do you mean by kujiunga na nyumba ndogo? Na nyumba kubwa nayo iwe nyumba ndogo ya ndoa nyingine?? Fafanua!
kwanza hongera kwa kua mke wa kwanza wa ndoa yako au kama weng wanavoweza kuita nyumba kubwa.Kujiunga nao kwa maana ya kukubali muwe mnashare nao penzi bila manung'uniko mana hata wanaume wamegundua mapungufu katika nyumba zao zinazotokana na nyie wamama wa nyumba kubwa. Ndo mana wanatafuta na kupata kamati za ufundi mpya zijulikanazo kama NYUMBA NDOGO.
 
Unaonaje na nyie kukubali kushare na vidumu???

kwanza hongera kwa kua mke wa kwanza wa ndoa yako au kama weng wanavoweza kuita nyumba kubwa.Kujiunga nao kwa maana ya kukubali muwe mnashare nao penzi bila manung'uniko mana hata wanaume wamegundua mapungufu katika nyumba zao zinazotokana na nyie wamama wa nyumba kubwa. Ndo mana wanatafuta na kupata kamati za ufundi mpya zijulikanazo kama NYUMBA NDOGO.
 
Nilivyosoma tu thread yako nilijua kuwa bado uko single. Hamna mwanamke aliye kwenye ndoa anaweza andika ulivyoandika hata kama ndoa yake ni ya 100% furaha. Subiri uianze safari ndio utajua vizuri yanayojiri. Siwezi kubadili mawazo yako utajifunza through experience.


Umempa miaka mingi sana kumi ndo aje hapa? mpe miwili tu then aandike tena...
 
the bottom line mapenzi ni two way traffick.....
sio jukumu la mama peke yake kulea ndoa....
kama mmoja anakosea mwingine anapaswa kutafuta solusheni ndani na sio kwenda nje.....kwa vimada,kuna ukimwi mtakufa muache watoto yatima bureeee........

kuna dawa za ukimwi tena bure test...unakunywa then kwa KIMADA...
 
ndoa ni kizungu zungu kikubwa,ukipata mtu ambae mnapendana kwa dhati{achia na maudhi madogo madogo}mshukuru mungu,maana kwa ulivyoelezea ni kama kila kitu ni jukumu la m.ke,ila katika ndoa sio hivyo.majukumu ni ya wote 2.Na ndoa ni loooooooooong commitment,miaka nenda miaka rudi,afanye mmoja tu,mmmh ni kama maonevu fulani
 
Naona wote mnakimbilia kusema nawatetea sijui nawapendelea wanaume.Jaribuni kuelewa nlichoandika..nnajua sana kwamba ndoa inahitaji pande zote mbili ziwajibike ila mke anapoacha kuwajibika mume nae akaacha hiyo ndoa nani atakayewajibika nayo?! Wapo pia wanaume wanaoku wa kwanza kutojiwajibisha ila mimi nimeamua kuongelea wamama kwanza alafu tutaendelea na upande mwingine baadae.Sasa kwasababu tu hamjapenda nilichoandika basi mnajitahidi kubadili na kutafuta maana nyingine zisizokuwepo kwenye nilichoandika.
 
kwenye hii thread tayari kuna wanawake watatu. Nyumba kubwa knows alot about family issues na anaamini kwenye subira na communications kutatua matatizo, bab girl ni mdogo asiye na ujuzi wa yoyote yatokeayo kwenye ndoa too hypothetical kuliko uhalisia, Pretty yeye mh anaweza kulianzisha ndoa kwake km kuna kosa no suluhu!
Kwahiyo unaweza kuona wanawake pia wanatofautiana saana huwezi kugeneralise tabia zao.
 
Huko kwa kuchokana ni kwingine kabisa kwasababu mtu anajua kabisa kachokwa ila hataki kuukubali ukweli.Nnaowaongelea mimi ni wale wazembe wasiojua kujikagua na kuona makosa yao matokeo yake kesi kwa wazee wa dini kila kukicha.

Baby Gal

Umeandika vizuri sana thread yako. Kesi kwenye ndoa za kwenda kwa wazee au viongozi wa dini huwa hazikwepeki. Wee ngoja uolewe halafu utajua ninachosema. Ngoja nikupe stori moja ya jamaa aliyepelekwa kwa wazee kwa kesi ya ndoa. Wazee walishikwa na mshangao kumetokea nini ilhali hawajawahi kusikia mgogoro wowote wa ndoa na mkewe.

Yule jamaa alikuwa na sifa mbili,moja alikuwa mvutaji sana wa sigara(chain smoker) na pili kitandani alikuwa mzima(lijari). Basi kesi ikaanza kusikilizwa kwa mke kuulizwa kulikoni. Mke alisema yafuatayo: ''Mie sina taatizo na mme wangu ila kunajambo linanisumbua sana. Tatizo ni kwamba kama mnavyoona anavuta sigara zake mfululizo(chain smoker) na kitandani akianza ni hivo hovo hakuna kupumzika! Mimi nimeshindwa naona nirudi nyumbani.!''

Huku jamaa akiendelea kupuliza fegi zake mfululizo aliulizwa na wazee kama hayo maneno ni ya kweli. Jamaa alisema ni kweli na akajitetea kuwa amezaliwa hivo hawezi kujizuia. Ndoa ikavunjika. Je, Baby Gal ungelifanyaje kama wewe ndiye ungelikuwa yule mke? Je, ungehimili mapigoya mfululizo au na wewe ungelimpeleka mme kwa wazee?

Kuna kina mama hawana pomzi kwenye tendo la ndoa kama huyu niliyemwelea hapo juu. Matokeo yake ni adiha ndoa kuvunjika au mwanamme kutafuta nyumba ndogo ili awe anamalizia mapigo yake kule.

Lakini pia kuna namna ya kufanya tendo la ndoa kati ya mme na mke. Hilinalo linachangia ndoa nyingi sana kuvunjika au kuwa na nyumba ndogo kwa pande zote mbili. Kuna wanawake hawajui kabisa kuwaridhisha waume zao kwa maana ya kukosa technique za kufanya tendo hilo. Wengine wanasema kifo cha mende au kusoma gazeti. Pia kuna wanaume nao mambo hawawezi kwa maana ya kum-drive mke mpaka anafikia kileleni. Hapa ndipo kwenye matatizo. Nakumbuka kuna madaktari walifanya utafiti kuhusu tendo la ndoa kwa kuongea na wake/waume na wakagundua kuwa kuna wanawake walishakaa kwenye ndoa more than 20 years hawajawahi kufikia kileleni! Mwanamke akiambiwa kupanda kileleni anashangaa ni kitu gani. Sasa siku akionja nje na kufikishwa kwenye hiyo peak basi ndoa itakuwa kwenye hatihati.

Hali kadhalika wanaume.Wakti mwingine wanawake wanachangia mme kutofurahia tendo la ndoa kwa kukosa ubunifu wa kumfanya mme asitoke nje. Kama nim kifo cha mende au kusoma gazeti usitegemee mzee atafurahia tendo hilo. Kwa hiyo siku akionjeshwa nje na wale kina mama wataalamu basi ujue imekula kwako.

Baby Gal ziko changamoto nyingi kwenye ndoa zinazosumbua na kupelekea baadhi ya ndoa kuvunjika. Kwa hiyo get prepared utakapoingia kweny ulingo huo wa ndoa.

Kila lakheri.
 
Kama huna la maana la kuchangia huna haja ya kuchangia.Sindo wewe unaetetea wanaume kutoka nje?!Kazi kufuata mikumbo tu!What a joke.

Babygal wewe kweli katoto...Siredi yako unaleta ukali hapa...alah halafu wewe..............jumapili njema maana nimetoka kuungama leo.
 
ina maana mke akiwa na nyumba ndogo aka kidumu kosa ni la mume? Maana umerusha lawama zote kwa mke bila kutazama upande wa pili. Vp khs tabia ya mtu? Pia ni jukumu la mke kumfariji mume na c mume na mke kufarijiana,kuliwazana,Kuheshimiana nk?

Hv ni kina mama wangapi wanauwezo wa kusoma magazeti ya udaku,chat with friends nk muda wa jioni badala ya kupika,kuhudumia watoto mume au c ajabu anakua yupo barabarani kuelekea nyumbani baada ya shughuli za kutwa kucha?



Ushawahi jiuliza kuwa wanaume wengine huwa na nyumba ndogo kwa tamaa zao? Kwa kugeza rafiki zao? Au kwa silka duni kuwa huo ndo urijali?

Pia umeolewa? Kama bado olewa uyaone,kama hujapinga haya maneno. . . Ndoa ina mambo mengi sana. . .
 
ina maana mke akiwa na nyumba ndogo aka kidumu kosa ni la mume? Maana umerusha lawama zote kwa mke bila kutazama upande wa pili. Vp khs tabia ya mtu? Pia ni jukumu la mke kumfariji mume na c mume na mke kufarijiana,kuliwazana,Kuheshimiana nk?

Hv ni kina mama wangapi wanauwezo wa kusoma magazeti ya udaku,chat with friends nk muda wa jioni badala ya kupika,kuhudumia watoto mume au c ajabu anakua yupo barabarani kuelekea nyumbani baada ya shughuli za kutwa kucha?



Ushawahi jiuliza kuwa wanaume wengine huwa na nyumba ndogo kwa tamaa zao? Kwa kugeza rafiki zao? Au kwa silka duni kuwa huo ndo urijali?

Pia umeolewa? Kama bado olewa uyaone,kama hujapinga haya maneno. . . Ndoa ina mambo mengi sana. . .
 
Kina dada/mama naomba msimshambulie babygal. Kwa maoni yangu aliyoyaandika yanachangia kwa asilimia 30 kwenye tatizo la nyumba mdogo. Yanayobaki ni mengi,
 
baby gal,kama lilivyo jina lako na wewe ndivyo ulivyo,ur still young,kua uyaone my dia!leo unaonge kwa sababu hujaolewa ipo siku utafuta usemi wako huu na kuomba msamaha kwa uliyoyasema!!!!Muombe Mungu akusaidie sana mambo yawe kama unavyofikiria mdogo wangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom