Nyumba ndogo zina viherehere

Nyumba ndogo zina viherehere

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,850
Jamani nina rafiki yangu amepata ajali sasa cha kushangaza nyumba ndogo a.k.a Mchepuko unang'ang'ania umuuguze wakati jamaa ana mke kabisa leo nimebeba msala kwa kukubali kuwa ni mchumba wangu baada ya mwenye mali kuhoji nikaona itakuwa timbwili wodini, tumejaribu kushauri lakini haelewi somo, mwaka jana kuna rafiki yangu mwingine aliugua nyumba ndogo akang'ang'ania wodini ili amuuguze mpenzi wake huku akijua jamaa ameoa hivi kwanini hii michepuko inakuwa na viherehere sana.
 
Jamani nina rafiki yangu amepata ajali sasa cha kushangaza nyumba ndogo a.k.a Mchepuko unang'ang'ania umuuguze wakati jamaa ana mke kabisa leo nimebeba msala kwa kukubali kuwa ni mchumba wangu baada ya mwenye mali kuhoji nikaona itakuwa timbwili wodini, tumejaribu kushauri lakini haelewi somo, mwaka jana kuna rafiki yangu mwingine aliugua nyumba ndogo akang'ang'ania wodini ili amuuguze mpenzi wake huku akijua jamaa ameoa hivi kwanini hii michepuko inakuwa na viherehere sana.

ndio ukome... we ulidhani unaitwa bebi hivihivi?? unaitwa bebi kwa sababu wewe ni kama pampus, ukigeuza kisogo tu anaingia bebi mwingine kuchunwa
 
michepuko ina makusudi sana kuna jamaa alifanya fujo akapelekwa polisi yaani mchepuko ukawa unajituma kuzidi njia kuu hadi wakapigana hapo hapo polisi
suluhisho ni kubaki nia kuu tu
 
Jamani nina rafiki yangu amepata ajali sasa cha kushangaza nyumba ndogo a.k.a Mchepuko unang'ang'ania umuuguze wakati jamaa ana mke kabisa leo nimebeba msala kwa kukubali kuwa ni mchumba wangu baada ya mwenye mali kuhoji nikaona itakuwa timbwili wodini, tumejaribu kushauri lakini haelewi somo, mwaka jana kuna rafiki yangu mwingine aliugua nyumba ndogo akang'ang'ania wodini ili amuuguze mpenzi wake huku akijua jamaa ameoa hivi kwanini hii michepuko inakuwa na viherehere sana.
Wewe kuhadi wewe
 
ndio ukome... we ulidhani unaitwa bebi hivihivi?? unaitwa bebi kwa sababu wewe ni kama pampus, ukigeuza kisogo tu anaingia bebi mwingine kuchunwa

Bujibuji mbona umeingia chaka rudia kusoma.
 
Last edited by a moderator:
Si ndo muziache? Wawagande tu kama ruba!!!
 
Kiherehere anacho rafiki yako kwa kutafuta nyumba ndogo.
Muache aiuguze ATM yake.
 
Tatizo siyo nyumba ndogo, mwenye kiherehere ni huyo mwenye mke na bado anatafuta wengine nje.
Tena atashikwa huyo za mwizi 40.
Hapo umenena dada kuna moja lilishikwa juzijuzi baada ya kumcheat wee mkewe mbaka likawa linalala hukohuko kwa mchepuko linamdanganya mkewe kazini kuna vimeo. Huku simu zake limeweka password ili mke wake asiweze kubaini nyendo zake na michepuko ila kwa kuwa za mwizi 40 akabainika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom