Nyumba ndogo bwana.

Nyumba ndogo bwana.

kumbe Ndio wewe unamtesa dadangu, amelazwa huku .....
 
Ongea na waifu akusaidie kukuombea msamaha kwa mwanamke mwenzie......
 
Tehtehteh, kwamba asizime simu! aiseee...... jf raha sana, idumu jf idumu arsenal naona liver wanalala hapa
Hukuacha hesabu. Unategemea
nini sasa .hizo sms ulizo mtumia ni zile za kuford zenye mkristma
ambazo tayari alishazipata kibao. Unadhani yeye hajui kwamba unamdhihaki
.Halafu akikupigia cm usimkimbie mkeo kwenda nje kupokea hiyo call.
Tumekubaliana atakupigia leo usiku saa nne wakati ukiwa umetulia usije
kuzima cm sasa
 
Yani unachanganyikiwa kabisaaaaa?dah, kweli nyumba ndogo ina nguvu!pole rafiki.
 
kuwa small house ya mtu yataka moyo wa chuma aisee.
 
Hapa ndo napopenda kuhusu kuolewa...HATA UMMEGE MUME WANGU VIPI ,UTAISHIA KUWA 2nd CHOICE anakutumia tu tna kw kificho,me ndo ntakuwa na'spend nae tym zote nzuriii at OUR HOME na bata with my children,Vacations nk....

Mhh
ss y cm haipokelewi hana raha na yupo na mkewe?
haya mambo ni kumuomba Mungu tu unless mtaendelea kujipa moyo tu mamii kumbe mtu yupo na ww tu kutimiza wajibu moyo upo kwengine.

Mungu atusaidie
 
Niko Mombasa kwa mapumziko ya X-mas na mwaka mpya. Nimesafiri na wife na watoto. Shida sub-house imekasirika sana haitaki mawasiliano na mimi, hapokei simu wala hajibu message. Mimi wanawake wengine sijui wakoje bana.

Mwambie maji akiyavulia sharti ayaoge,na anajua kabisa una mke!Mwambie awe na heshima kwa mke mkubwa na ajue yeye ni "Small house" tu,asijaribu kupanda cheo kabla hajapandishwa!! 😛
 
Hapa ndo napopenda kuhusu kuolewa...HATA UMMEGE MUME WANGU VIPI ,UTAISHIA KUWA 2nd CHOICE anakutumia tu tna kw kificho,me ndo ntakuwa na'spend nae tym zote nzuriii at OUR HOME na bata with my children,Vacations nk....

Aisee ukipata mke anaelewa hivi hata nje hutatoka tena. Ukiachiwa huru utarudi tu. Wengi wao sasa fuujooo...mwanaume lazima kidogo
Atoke alafu arudi....lol

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
Wanawake stress. Either uwe na 2 amausiwe nao kabisa...

Sent from my Samsung Note III using Tapatalk
 
Back
Top Bottom