Nyumba ndogo bwana.

Nyumba ndogo bwana.

Niko Mombasa kwa mapumziko ya X-mas na mwaka mpya. Nimesafiri na wife na watoto. Shida sub-house imekasirika sana haitaki mawasiliano na mimi, hapokei simu wala hajibu message. Mimi wanawake wengine sijui wakoje bana.

Samahani mkuu,huyo ni mke wa pili au kimada tu wa nje?
 
Mkuu, uwe makini naye huyo, anataka kuanza ku-assume madaraka makubwa kupita u-smoli house wake. Unatakiwa utoe onyo la kumpiga chini haraka asipojirekebisha.
 
Ulishindwanini kunichukua twende wote? Embu kasome uzi wa THE BOSS Kwanza!! Na usirudi!!
 
Niko Mombasa kwa mapumziko ya X-mas na mwaka mpya. Nimesafiri na wife na watoto. Shida sub-house imekasirika sana haitaki mawasiliano na mimi, hapokei simu wala hajibu message. Mimi wanawake wengine sijui wakoje bana.
Ulivyoamua kwenda 'kumkwaruza' mkeo huko naye 'anakwaruzwa' na kidumu kingine huku huku...
 
Ulishindwanini kunichukua twende wote? Embu kasome uzi wa THE BOSS Kwanza!! Na usirudi!!

We Munkari kumbe hata hujui strategy za kuwa smoli house. Akuchukue mwende wote wakati yuko na big house halafu ndo iweje? Badala ya hiyo ya kwenda wote ulitakiwa uwe na plan ya safari yako na yeye wakati mwingine.
Big house na smoli house hazitakiwi kuchanganywa pamoja, labda kwenye misiba tu.
 
nilitumaini hiyo vacation umeenda kuongeza upendo na family lkn kumbe mawazo yote yapo small house
 
We Munkari kumbe hata hujui strategy za kuwa smoli house. Akuchukue mwende wote wakati yuko na big house halafu ndo iweje? Badala ya hiyo ya kwenda wote ulitakiwa uwe na plan ya safari yako na yeye wakati mwingine.
Big house na smoli house hazitakiwi kuchanganywa pamoja, labda kwenye misiba tu.

hahaha! Kuna mdau alisema hapa ukitoka na big hauz hoteli hii basi na smal hauz hoteli ile ! mwambie hana chake atulie kwenye ndoa yake.
 
'....yani kama wanawake wangekuwa wanaona tunayoyawaza na kuyatenda mioyoni mwetu.....'
 
Jitahidi uache usaliti,utavuna ulichopanda.

yuko tayari kwenye mavuno!

asubiri tu siku mkewe akigundua mchezo alete tena uzi hapa mkekani!

mbio za ukingoni huishia sakafuni.. teh!
 
kwa hiyo hapo unayemdanganya ni mkeo au hiyo nyumba ndogo?????????????????/shame on your face you dont deserve to be called a husband or a father in that case,mnafiki mkubwa sana wewe you are cheating to both women.
 
na usidhani kwamba kakukasirikia wewe,

amekasirikia pesa zako!

kama kweli nyumba ndogo inakupenda, jaribu kusitisha day to day expenses!

you will sing haleluya!
 
Hukuacha hesabu. Unategemea nini sasa .hizo sms ulizo mtumia ni zile za kuford zenye mkristma ambazo tayari alishazipata kibao. Unadhani yeye hajui kwamba unamdhihaki .Halafu akikupigia cm usimkimbie mkeo kwenda nje kupokea hiyo call. Tumekubaliana atakupigia leo usiku saa nne wakati ukiwa umetulia usije kuzima cm sasa
 
Back
Top Bottom