Nyumba ndogo bwana.

Nyumba ndogo bwana.

Muoe na huyo ili next tyme uende naye.... Siijui kwanini watu hawatulii na ndoa zao aggghhhhhrrrr!!!!!
 
pole kwa mkeo umetoka na mkeo halafu kumbe moyo uko kwa mwanamke mwingine! nimeamini uzinzi ni kitu kibaya sana.
 
Uzinzi sio sifa mkuu. Hiyo ilikuwa zamani saaaaaana
 
Hapa ndo napopenda kuhusu kuolewa...HATA UMMEGE MUME WANGU VIPI ,UTAISHIA KUWA 2nd CHOICE anakutumia tu tna kw kificho,me ndo ntakuwa na'spend nae tym zote nzuriii at OUR HOME na bata with my children,Vacations nk....
 
ndugu yangu umetumwa na shetan au?inakuaje unajinadi kwa uznz! acha kumsaidia lucifer kuudanganya ulimwengu.
 
Upo na wife bado unampigia nyumba ndogo, wife upo nae wa nini. Muache wengine wamfaudu pia sio unataka kumletea magonjwa.

Naomba kwa Mungu akukamate soon. Au naye apate wake wa kumpa raha zote kimwili na kiroho nje.

Unatia aibu
 
Niko Mombasa kwa mapumziko ya X-mas na mwaka mpya. Nimesafiri na wife na watoto. Shida sub-house imekasirika sana haitaki mawasiliano na mimi, hapokei simu wala hajibu message. Mimi wanawake wengine sijui wakoje bana.
Sasa kinachokushangaza nini hapo???
 
ImageUploadedByJamiiForums1388062912.710857.jpg
 
Pole,,,
Watu wanakuponda as if hawafanyi hii kitu anu ni jambo geni..................
Kula roho kitu inapenda na ukirudi muombe msamaha kwa kumuacha peke ake sikukuu hii.
 
Back
Top Bottom