Wanasema eti vyuma vimekaza, nikaona isiwe tabuNyumba nzuri......hata hiyo rent ni hasara tu
KaribuJamaa anatafuta mtu wa kuibikiri nyumba yake! Mkuu kwani kiwanja ulidhurumu mtu?
Mchezo upi ninaofanya. Nyumba mpya nakarabatikitu ganiHuo mchezo unaoufanya hutopata mtu,nikupe kodi yangu ya mwaka ukarabati nyumba yako baada ya miaka 2 nyumba imeshaisha unipandishie kodi!!...
Hapana, nadhani wanaishi wanyamaHivi wanaishi watu huko?
Njoo tuyajenge 0716411720Huo mchezo unaoufanya hutopata mtu,nikupe kodi yangu ya mwaka ukarabati nyumba yako baada ya miaka 2 nyumba imeshaisha unipandishie kodi!!...
GoodView attachment 623964 View attachment 607136 View attachment 607137 Wakuu habari za majukumu,
Napangisha Nyumba yangu. Hii ni mara ya pili naleta hili tangazo. Ila kuna baadhi ya vitu vimeboreka.
Sifa za Nyumba
-Vyumba vya kulala vitatu, kimoja master
Dinning
Jiko.
Sitting room
Tile kote
Varanda Mbili
Gypsum
Simtank
Rangi nyeupe, nje na ndani
Full fence
Ila Umeme mwezi ujao, kulikuwa na tatizo upande A kuvutia
Eneo: Ni mbezi msakuzi, kituo freetown
SimuView attachment 607133
Ai ai aiJamaa anatafuta mtu wa kuibikiri nyumba yake! Mkuu kwani kiwanja ulidhurumu mtu?


