Nyumba inapangishwa, 120,000

Nyumba inapangishwa, 120,000

Duh naitamani hiyo nyumba maana ni karibu na site kwangu kule mbele kunaitwa Goma,mkuu ngoja niiweke katika mawazo hii naweza kuja kuicheki
 
[QUOni kwe"Muhsiniina, post: 24323136, member: 461931"]Usife moyo mkuu, utapata mtu, watu wasikukatishe tamaa, gharama za ujenzi ni kubwa najua unatamani hata kodi ingekuwa mara 2 ya hapo, mdogo mdogo utafika

Sent from my RAINBOW LITE 4G using JamiiForums mobile app[/QUOTE]
Dah ni kweli mkuu
 
Kumbe zipo za bure, kuna jamaa yangu anaomba umsaidie akae huko. Pili Kwangu sio magohe, ni Freetown, magohe ni mbali

Huko Mpigi magohe hata za bure zipo. Watu wamejenga huko wanashindwa kuishi kutokana na umbali na town. Hivyo akijitokeza mtu anayetaka kuishi huko unapewa tu kwa mashariti ya kutunza mazingira. Hivyo hiyo bei ni ghali kwa freetown labda ungeanzia laki. Watu wenye mishe huko au mbezi mwisho wanaweza kuja kupanga.
 
Si ametaja sehemu ni Mbezi Msakuzi unashuka kituo kinaitwa Freetown au mnauliza nini?
Watu wakiandika humu jua hawajakurupuka Mjomba, we hapa chini unaiona hiyo Mbezi Msakuzi??
upload_2017-11-9_13-17-39.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom