erasto mrishayo
Senior Member
- Oct 16, 2015
- 157
- 79
Duuuuuh ndo kwa mshua? Hongera baba kikwete mm hata chumba kimoja kinanishinda kujenga
Hilo jumba lipo bondeni wakuu (Johannesburg) kitongoji cha Bryston.hapa sio bondeni kweli! kwa mkuu nchi ile!!!!!!
Nzuri sana
Ushukuriwe kwa usemi wako!! jee ni methali au fumbo?Akili inawaza macho yanaona moyo unatamani mwili unashindwa kutekeleza viamba upishi ni haba
Yebaaah
Fumbo bali nachelea kuita fumbo la imani... Hahahaaaa nisalimie #mshana jrUshukuriwe kwa usemi wako!! jee ni methali au fumbo?
Basi ujue Moula ni mwingi wa makazi..akujaalie nawe mjengo ka huo!! Samahani salam zipeleke mwenyewe.. mie siyo e-pepe!!Fumbo bali nachelea kuita fumbo la imani... Hahahaaaa nisalimie #mshana jr