tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 26,021
- 25,423
Kuna mambo mengi msiyoyajua kuhusu operesheni tokomeza. Leo nimekuwa nikiongea na kaka yangu, ambaye ni mmoja wa wanajeshi walioshiriki operesheni tokomeza, amenifumbua macho sana kuhusu unyama uliofanywa na wanajeshi kwa raia na mali zao, hasa mifugo. Kuna uovu mwingi na wa kutisha walioutenda ambao haujaripotiwa wala kuwewwa wazi na tume ya Lembeli kwa sababu ambazo hazijulikani kwa mtu yeyote mpaka sasa.
In fact, what has been revealed by Lembeli's inquiry commision is just a very small fraction of the tip of an iceberg. Ndugu zangu, maovu yaliyotendwa na wanajeshi hayasimuliki. Ngoja tusubiri tuone kama tume itakayoundwa kufanya uchunguzi wa kina itakuja na majawabu mapya kuhusu uovu wote uliotendeka. Endapo tume hiyo haitataja haya maovu niliyosimuliwa na mwanajeshi, nipo radhi kuvua nguo zangu zote na kutembea uchi mitaani. Ni bora kuwa chizi ili nisiendelee kuyaona haya maovu wanayotendewa raia wasiokuwa na hatia.
In fact, what has been revealed by Lembeli's inquiry commision is just a very small fraction of the tip of an iceberg. Ndugu zangu, maovu yaliyotendwa na wanajeshi hayasimuliki. Ngoja tusubiri tuone kama tume itakayoundwa kufanya uchunguzi wa kina itakuja na majawabu mapya kuhusu uovu wote uliotendeka. Endapo tume hiyo haitataja haya maovu niliyosimuliwa na mwanajeshi, nipo radhi kuvua nguo zangu zote na kutembea uchi mitaani. Ni bora kuwa chizi ili nisiendelee kuyaona haya maovu wanayotendewa raia wasiokuwa na hatia.