Dalali Bunju
Member
- Feb 10, 2014
- 44
- 65
Miaka yote Wapinzani wamekuwa wanasubilia Mitafaruku ya Ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) baada ya kura za Maoni, ili waweze kuwashawishi wale walio enguliwa kwa sababu mbalimbali ili wagombee kupitia Vyama vyao vya Upinzani,
Kitu ambacho wamekikosa hawamu hii kwa Asilimia kubwa, kitu kilichopelekea kujikuta wanakosa wagombee wa kuwasimamisha wenye USHAWISHI kwa jamii husika, Hivyo njia pekee iliyo baki ni kuwahadaa walimwengu kwa kutangaza kujitoa katika kinyang'anyiro cha Chaguzi za Selikali YA Mtaa kwenye vyombo vya habari, Bila kufuata na kukamilisha Taratibu za kujitoa ikiwa ni Pamoja na kuandika barua rasmi kwa mamlaka husika
Kitu ambacho wamekikosa hawamu hii kwa Asilimia kubwa, kitu kilichopelekea kujikuta wanakosa wagombee wa kuwasimamisha wenye USHAWISHI kwa jamii husika, Hivyo njia pekee iliyo baki ni kuwahadaa walimwengu kwa kutangaza kujitoa katika kinyang'anyiro cha Chaguzi za Selikali YA Mtaa kwenye vyombo vya habari, Bila kufuata na kukamilisha Taratibu za kujitoa ikiwa ni Pamoja na kuandika barua rasmi kwa mamlaka husika