Wapendwa wiki mbili zilizopita,niliingiliwa na nyuki chumbani kwangu.Aisee sikuwahi ona nyuki wengi kiasi kile walikuwa wengi mno. Kwangu lilikuwa tukio la ajabu ambapo ndani sitting walikuwemo watoto lkn hawakuwang'ata hata mmoja. Nilishiia kuomba huku nikiomba ulinzi wake kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Wale nyuki waliingia kwenye kabati langu la nguo hata Sijui walipenyaje Hali ya kuwa nilifunga mlango wa kabati..Niliomba sana,sana na sana. Baada kusema Ameen nilinyanyuka nikafungua mlango wangu wa chumbani,Baada ya hapo nikaanza Tena kusali baadhi ya nyuki walianza kunizunguka lkn sikuacha kumuomba Mungu,na hawakuning'ata.
Baada ya hapo nikaenda Kwenye kabati na kumwambia Mungu, nafungua kabati hili kwa jina lako tukufu. Nikafungua..Nilichokiona juu ya kabati nyuki wametanda kote ni wengiiii Mungu Wangu yaan sijawahi ona nyuki namna Ile. Walikuwa wametulia tuli..Basi nikaacha kabati wazi,muda hiyo ni saa Saba mchana..Hawakutoka mpaka jioni..Lkn sikuwa na uoga Tena.
Sasa nauliza nyuki akiingia ndani Kuna ishara,ni kitu gani hicho wapendwa..
Wale nyuki waliingia kwenye kabati langu la nguo hata Sijui walipenyaje Hali ya kuwa nilifunga mlango wa kabati..Niliomba sana,sana na sana. Baada kusema Ameen nilinyanyuka nikafungua mlango wangu wa chumbani,Baada ya hapo nikaanza Tena kusali baadhi ya nyuki walianza kunizunguka lkn sikuacha kumuomba Mungu,na hawakuning'ata.
Baada ya hapo nikaenda Kwenye kabati na kumwambia Mungu, nafungua kabati hili kwa jina lako tukufu. Nikafungua..Nilichokiona juu ya kabati nyuki wametanda kote ni wengiiii Mungu Wangu yaan sijawahi ona nyuki namna Ile. Walikuwa wametulia tuli..Basi nikaacha kabati wazi,muda hiyo ni saa Saba mchana..Hawakutoka mpaka jioni..Lkn sikuwa na uoga Tena.
Sasa nauliza nyuki akiingia ndani Kuna ishara,ni kitu gani hicho wapendwa..

