Wapendwa wiki mbili zilizopita,niliingiliwa na nyuki chumbani kwangu.Aisee sikuwah ona nyuki wengi kiasi kile walikuwa wengi mno..Kwangu lilikuwa tukio la ajabu ambapo ndani sitting walikuwemo watt lkn hawakuwang'ata ht mmoja..Nilishiia kuomba huku nikiomba ulinzi wake kutoka kwa Mwenyezi Mungu..Wale nyuki waliingia kwenye kabati langu la nguo ht Sijui walipenyaje Hali ya kuwa nilifunga mlango wa kabati..Niliomba sana,sana na sana..Baada kusema Ameen nilinyanyuka nikafungua mlango wangu wa chumbani,Baada ya hapo nikaanza Tena kusali baadhi ya nyuki walianza kunizunguka lkn sikuacha kumuomba Mungu,Na hawakuning'ata..Baada ya hapo nikaenda Kweny kabati na kumwambia Mungu,nafungua kabati hili kwa jina lako tukufu..Nikafungua..Nilichokiona juu ya kabati nyuki wametanda kote ni wengiiii Mungu Wang yaan sijawah ona nyuki namna Ile..Walikuwa wametulia tuli..Bhac nikaacha kabati wazi,muda hiyo ni saa Saba mchana..Hawakutoka mpk jioni..Lkn sikuwa na uoga Tena..Sasa nauliza nyuki akiingia ndani Kuna ishara,ni kitu gani hicho wapendwa..