Nyuki kuingia ndani.

Nyuki kuingia ndani.

Kwan wew unafikiri hili jina ndo analo ndugu Yako TU huyo unayemfikiria au..Hata Sijui unazungumza nn..Haya majina ni ya ukoo na wako wengi Sasa cjui wew umemkariri nani?
πŸ™ŠπŸ™ŠπŸ™ŠπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Yaani nyuki wababe sana.leo kwenye juisi ya miwa nimenunua kwa hela yangu nanyanyua glasi ananichoma sindano.wakati yeye anachukua bure.
 
acha milango na madirisha wazi zima taa ndani washa za nje kisha tafuta majani yenye moshi mkali washa ndani

(hakikisha huwachomi ila moshi tu ndio utawafanya watoke nje wenyewe)

ni vizuri wakati huu ukihamishia familia jirani pia kwa mimi ambae nimewahi kuonana na hawa wadudu mara kadhaa ni kuwa hawapendi vurugu, ukitulia nao wanatulia.

kuhusu kufanya maombi si jambo baya lkn ningekushauri kutohusisha na mambo ya kishirikina ni kawaida nyuki kuhama hama na hasa kama sehemu walikuwapo wamesumbuliwa.

pia nyuki hupenda sehemu iliyojificha ndio maana wameingia kwa kabati hata wale wanaofuga ukiangalia mabanda yao yanakuwa na vitundu vidogo tu ambavyo ambavyo vinaruhusu kuingia na kutoka.

jioni njema na pole kwa usumbufu wa hao wadudu.
Kwa kitendo Cha mara kwanza Niliingiwa na hofu..Kwahy ilinibid niombe maan nilishawah hudhuria msiba wa mtu aliyeshambuliwa na nyuki..Kwahy nilijikabidhi kwa Mungu kwanza kabla mengine hayajatokea..Maan majirani walivyokuja kila mtu alikuwa anaongea lake..Lkn sikuwa za mbali khvy..Ila nilipopata simu kutoka kwa jirani anayefanya Kazi Maliasili alisema kuwa kipindi Cha joto nyuki huwa wanahama..Kwahy wakiona wamechoka wanapumzika kwa muda..Kwahy nasema ukweli sikuwa za mabaya..Ila c unajua binadamu walivyo na tafsiri..Ni hvy tu
 
Mimi nilIkuwa nao ndani kabatini karibu kabisa na kitanda. Kwa kweli mambo yangu yalininyookea sana , ila tatizo nilikuwa nikienda kuchepuka nikirudi lazima nyuki mmoja aniume nikiwa nimelala kitandani. Kwa sababu ya ujana niliamua kuwalina asali na wakahamia. Miaka miwili iliyopita walikuja wakaingia kwenye tairi ya trekta dogo , niliacha kulitumia mpaka leo na la pili pia wameshaingia. Kwa kweli hera ya mboga na matumizi mengine napata na nyumbani kuna amani tele. Nakushauri ukae nao ila watoto wasizoee chumbani Utakuja kunishukuru baadae. Ila nyuki wanatabia ya kucheza nje ya mzinga kila mchana wala hilo lisikupe hofu. Ubarikiwe sana nyuki ni rafiki wa binadamu.
Waliwapulizia dawa Ila nafsi ilikuwa inauma kwa kweli..Sikuwa na budi kwa maan ndo chumbani nalala..
 
Wapendwa wiki mbili zilizopita,niliingiliwa na nyuki chumbani kwangu.Aisee sikuwah ona nyuki wengi kiasi kile walikuwa wengi mno..Kwangu lilikuwa tukio la ajabu ambapo ndani sitting walikuwemo watt lkn hawakuwang'ata ht mmoja..Nilishiia kuomba huku nikiomba ulinzi wake kutoka kwa Mwenyezi Mungu..Wale nyuki waliingia kwenye kabati langu la nguo ht Sijui walipenyaje Hali ya kuwa nilifunga mlango wa kabati..Niliomba sana,sana na sana..Baada kusema Ameen nilinyanyuka nikafungua mlango wangu wa chumbani,Baada ya hapo nikaanza Tena kusali baadhi ya nyuki walianza kunizunguka lkn sikuacha kumuomba Mungu,Na hawakuning'ata..Baada ya hapo nikaenda Kweny kabati na kumwambia Mungu,nafungua kabati hili kwa jina lako tukufu..Nikafungua..Nilichokiona juu ya kabati nyuki wametanda kote ni wengiiii Mungu Wang yaan sijawah ona nyuki namna Ile..Walikuwa wametulia tuli..Bhac nikaacha kabati wazi,muda hiyo ni saa Saba mchana..Hawakutoka mpk jioni..Lkn sikuwa na uoga Tena..Sasa nauliza nyuki akiingia ndani Kuna ishara,ni kitu gani hicho wapendwa..
Hapo mkuu kiroho kuna mambo mawili yapo mbele yako SHEREHE au MSIBA funga muombe mungu sana ,kama ni wa kawaida mshukuru Mungu.
Yalinikuta mimi!!

Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
 
Nyuki wakikuingilia ndani unapaswa kufanya nini? Tuelimishane wakuu.

Pia kuwaua ulikuwa ni ukatili sana, nini kilipaswa kifanyike?
Ukweli ni ukatili Ila kwa kuwa ni kitendo ambacho ndo mara kwanza na nyumbn hapakuwa na mwanaume muda huo ilibid niombe msaada kwa majirani watu wazima ndo wakafany Hilo suluhisho..
 
Acha usanii wewe!!, Kwaiyo hapo sasa inaendea ujiite nabii, wakristo mna tabu!
Sijajiita nabii..Na Wala Sina Hio karama..Mungu anaombwa wakati wowote cvyo..Halijakutokea thus y unaongea hvy..Acha kukashifu Imani za watu..
 
Wapendwa wiki mbili zilizopita,niliingiliwa na nyuki chumbani kwangu.Aisee sikuwah ona nyuki wengi kiasi kile walikuwa wengi mno..Kwangu lilikuwa tukio la ajabu ambapo ndani sitting walikuwemo watt lkn hawakuwang'ata ht mmoja..Nilishiia kuomba huku nikiomba ulinzi wake kutoka kwa Mwenyezi Mungu..Wale nyuki waliingia kwenye kabati langu la nguo ht Sijui walipenyaje Hali ya kuwa nilifunga mlango wa kabati..Niliomba sana,sana na sana..Baada kusema Ameen nilinyanyuka nikafungua mlango wangu wa chumbani,Baada ya hapo nikaanza Tena kusali baadhi ya nyuki walianza kunizunguka lkn sikuacha kumuomba Mungu,Na hawakuning'ata..Baada ya hapo nikaenda Kweny kabati na kumwambia Mungu,nafungua kabati hili kwa jina lako tukufu..Nikafungua..Nilichokiona juu ya kabati nyuki wametanda kote ni wengiiii Mungu Wang yaan sijawah ona nyuki namna Ile..Walikuwa wametulia tuli..Bhac nikaacha kabati wazi,muda hiyo ni saa Saba mchana..Hawakutoka mpk jioni..Lkn sikuwa na uoga Tena..Sasa nauliza nyuki akiingia ndani Kuna ishara,ni kitu gani hicho wapendwa..
Jf imekua na members wa hovyo sijawahi kuona

Forcing people to believe in these miujiza, mauchawi and impossible stuff

It seems
Like we have many members with schizophrenia humu ndani
 
Hapo mkuu kiroho kuna mambo mawili yapo mbele yako SHEREHE au MSIBA funga muombe mungu sana ,kama ni wa kawaida mshukuru Mungu.
Yalinikuta mimi!!

Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
si kweli, mimi walikuja juu ya net wakakaa masaa kadhaa tena nikiwa mgonjwa lakini sikuona chochote katika uloyataja.
 
Hapo mkuu kiroho kuna mambo mawili yapo mbele yako SHEREHE au MSIBA funga muombe mungu sana ,kama ni wa kawaida mshukuru Mungu.
Yalinikuta mimi!!

Sent from my SM-J730G using JamiiForums mobile app
Sasa utajuaje kama ni WA kawaida!Ila hakuna mtu ndani Kwangu aliyeng'atwa..Hata mm niliyeingia chumbn Kwangu ambapo ndipo walipoweka makazi sikudhurika.. Mwenyezi Mungu ndo muweza ya yote..Atuepushe na shari
 
Walikuletea asali na hakuna mtu waliyemg'ata!!!
Waliweka makao kabisa, kwa muda mrefu wakawa wanang'ata ukipita vibaya, badae tuliwafurusha, tukachota na asali ila naona wamerudi tena

Na tuko katikati ya mji sio kijijini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom