kashata
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 528
- 533
Mmh mkuu apa changa kabisa isije ikawa zamu yako ya kulipia bili ya umeme imefika ndio unataka jamaa akutoe.If is true sema tutakusaidia
Pole sana. Jina lako na pepo za bahari za kusi zinaenda halijojo. Uje na majogoo ya kienyeji 2, vitunguu saumu nusu kg, tangawizi kg 1 na mkaa gunia. Hii ni kwa ajili ya kurudisha nyota ya nyumba ndogo.
Kuhusu my wifw wako, ukete mbuzi anetembea mweusi (awe kanona mafuta ndo yanatengeneza dawa), nakutumia namba ya luku ununue umeme wa 50,000/= tu ili mapenzi yarudi kwa mnunurisho.