Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Wanasoma kwa Kiswahili?Unaishi Tanzania ndugu, umewahi kufanya kazi na wenye degree za hapa ujionee wangapi wanaoweza kuongea hio lugha ya mabeberu?
Wanasoma kwa Kiswahili?Unaishi Tanzania ndugu, umewahi kufanya kazi na wenye degree za hapa ujionee wangapi wanaoweza kuongea hio lugha ya mabeberu?
Yaonekana wewe si mtanzania mzawa. Wazawa wote wanajua kuwa lugha ya malkia kwa ajili ya kupatia degree kila mtu anayo. Lakini ile ya kujieleza kwa ufasaha (fluency) ndiyo tatizo. And, mind u please, it's not that people don't know English. They do, but they do not have fluency.Unawezaje kupata degree kwenye vyuo vyetu bila ya kuongea lugha ya Malkia tuache utani
Halafu kaalikwa kwa kua ni vice president PAP.Ila mbona kama ya tarehe 6may 2019 kipindi mualiko unafanyika si timbwili lilikua bado halijanza
ngumu hapo kwa kuwa yeye anawakilisha AfricaJamaa alivyo na roho mbaya atamharibia Masele
Akimharibia Atakuwa Na Psychological Problems. Mwenyew Simfagilii Huyu Masele, personally, Japo Sina Grudge Yoyote Dhidi Take, Lakini Kwa Hili Amesimama Kidete! Amekataa Kuburzwa! Huyu Si Zwazwa!Jamaa alivyo na roho mbaya atamharibia Masele
Sio Kidogo Wewe, Yatampa Tabu Sana! Kama Ile Fimbi Yake Alikuwa Nayo, Lazima Itakuwa Ilivunjika Kwa Kupiga Ukuta...Ndugai hajaalikwa, yeye anaishia chalinze tu,mambo ya mataifa makubwa yatampa tabu kidogo
Kwa Mfano Ingekuwa Wewe, Na Yeye Ni Ndugu Yako, Kweli Huyu Jamaa, Si Ungemkana?Huyu ndugai hata vikao vya familia haitwi kabisa yaani kila sehemu anachukiwa
Mkwepa Kodi Umeua Mkali!Yaweza kuta nyuma yake kuna mtu anamtuma afanye hivyo.
Kama tunavyoelewa, spika haiwezi kutoa sauti bila ya chanzo + amplifier +........
Mwache Tu. Mimi Namsupport Ili Yule Mkuu Wake Wa Kazi Apate SHELI! Maana Duh, Anapata Tabu Sana.Huyu Maselle mwenye damu ya shelembi. Watanzania wepesi sana kasahau. Maselle hana lolote anatafuta kiki. Kupublish huu mualiko binafsi kwenye public ni kutafuta kiki tu.
Hahahaaa, thanks mkaliMkwepa Kodi Umeua Mkali!
Sina Cha Kuongezea!