kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
Mwaliko uliandikwa tarehe 6 may...japo ubwabwa utakuwa tarehe 29..kila la kheri
Wewe acha tu. Aliporwa ubunge na kuondolewa uhai juu. Shelembi wetu.Namkumbuka marehemu shelembi alikuwa anajiita mashine ya kusaga na kukoboa mafisadi
Great yeye hutamka "grit" badala ya gret ..Kwanza huyo ndugai lugha inapanda? Maana mihimili ya sasa hv ni muhimili mmoja tu wa mahakama ndo lugha inapanda
Si Ndugai,si Masele watajijua wote hawa huwa wanapitisha miswada ya kisenge.Ndiyo hayo mambo ya kidikteta Victoire ambayo Watanzania wengi tunayakataa na kuyapiga vita. Tabia za kutumia vyeo kuwakomoa wengine kwa namna moja au nyingine hata kama hawana kosa lolote lile bali tu walimkosoa mtu au kugoma kumsujudia basi itakula kwa muhusika.
Mie nataka sana Maselle aendelee kumdharau huyo kikaragosi Ndugai ila 2020 ajiandae kutafuta ajira kwenye private companies maana Bungeni hatatia tena mguu.
Umenikumbusha mbali sana ulivyo mtaja shelembi aisee alimsumbua sana maselle mpka halmashauri kuungua motoHuyu Maselle mwenye damu ya shelembi. Watanzania wepesi sana kasahau. Maselle hana lolote anatafuta kiki. Kupublish huu mualiko binafsi kwenye public ni kutafuta kiki tu.
Watu tunasahau sana. Tunamwona Masele leo anaonewa. Tabia ya mtu ni ngozi huwa haibadiliki. Nguruwe atabaki kuwa nguruwe hata umpake lipstick. Who knows hizo tuhuma kwa Rais wa PAP ni Zengwe ili Masele awe Rais kabisa ?.Mtu kama hupo tayari kutoa uhai binadamu mwenzake anashindwa vipi kumwekea zengwe Rais wa PAP ?Umenikumbusha mbali sana ulivyo mtaja shelembi aisee alimsumbua sana maselle mpka halmashauri kuungua moto
Yeye ni public figure na amealikwa ktk tukio la hadhara, hajaalikwa kama mtu binafsi amealikwa kwa cheo ama nyadhifa yake.Huyu Maselle mwenye damu ya shelembi. Watanzania wepesi sana kasahau. Maselle hana lolote anatafuta kiki. Kupublish huu mualiko binafsi kwenye public ni kutafuta kiki tu.
Hivi jamani ni ajabu kwa makamu wa Rais wa Pap kualikwa kwenye kuapishwa Rais wa Nigeria? Hadi mseme ana nyota????Yeye ni public figure na amealikwa ktk tukio la hadhara, hajaalikwa kama mtu binafsi amealikwa kwa cheo ama nyadhifa yake.
He's a public figure, an invitee in a public and distinguished function, why is it a sin for public to be informed??
Kuna tofauti, wewe ukialikwa kwenye kitchen party au kikao cha ukoo hapo itakuwa ushamba kuweka kadi ya mwaliko maana hiyo ni private function.
Hatuna interest na mambo binafsi ama maisha Masele...
Tuna interest na mambo yahusuyo nyadhifa yake.
Can't you see the ties?
Kwani kila aliyewahi kuwa makamu wa Rais PAP ama mtu mashuhuri alikuwa ana alikwa kwenye kuapishwa kwa Rais ili tuone ni jambo la kawaida na si la ajabu???Hivi jamani ni ajabu kwa makamu wa Rais wa Pap kualikwa kwenye kuapishwa Rais wa Nigeria? Hadi mseme ana nyota????
Walikuwa wanaalikwa ila hawakutaka kupublish.Kwani kila aliyewahi kuwa makamu wa Rais PAP ama mtu mashuhuri alikuwa ana alikwa kwenye kuapishwa kwa Rais ili tuone ni jambo la kawaida na si la ajabu???
Anayeamua kuwa muwazi kwenye jambo ambalo si dhambi kuweka wazi na anayekuwa msiri kwenye jambo hilo hilo nani anakosea ama wote wanakosea nn???Walikuwa wanaalikwa ila hawakutaka kupublish.
Ngalu,obhizaga ginehe? Ngw'inoyu wa mkaya bhayengaMwaliko huu sio habari njema sana, kwa sababu Masele amealikwa kwa kofia yake ya nafasi yake Bunge la Afrika, lakini sasa amesimamishwa kusubiria hatua za kinidhamu, hivyo mialiko yote aliyoipata kabla inasimamishwa. Ubunge wa Bunge la Africa ni kufuatia Ubunge wake wa Bunge la Tanzania, ukiishasimamishwa Ubunge wa Tanzania, automatically, Ubunge wake kwa Bunge la pia unasimama, hivyo kuna uwezekano, sio nyota yake inazidi kungaa, inawezekana ndio inaanza kufifishwa.
Mimi binafsi namkubali sana huyu jamaa, na nilishauri atamkwe kuwa ni shujaa wa taifa
P.Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Wanabodi, Ile siku Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhre. Stephen Masele, alipomtuhumu Balozi wa Uingereza nchini kwa tuhuma nzito za ujasusi!, nilipandisha uzi huu, Ujasusi wa Balozi wa Uingereza: Tanzania, Can We Stand?!.nikihofia Mhe. Masele kufanywa "kondoo wa kafara!". Baada ya tuhuma...www.jamiiforums.com
Unaishi Tanzania ndugu, umewahi kufanya kazi na wenye degree za hapa ujionee wangapi wanaoweza kuongea hio lugha ya mabeberu?Unawezaje kupata degree kwenye vyuo vyetu bila ya kuongea lugha ya Malkia tuache utani