Ndugai hawajamualika?, roho inamuuma sana
Yaweza kuta nyuma yake kuna mtu anamtuma afanye hivyo.Ndugai hawajamualika?, roho inamuuma sana
Alivyo na stress ndugai leo lazima amalize bapa zima la konyagiJamaa alivyo na roho mbaya atamharibia masele
Shangaa anatafuta kiki ndo maana kaipublish. Na umbea aache naona anataka uwaziri kwa nguvu zote.Ila mbona kama ya tarehe 6may 2019 kipindi mualiko unafanyika si timbwili lilikua bado halijanza
Lugha si kigezo ndugu. Si wote wanaoalikwa ni wazungumzaji wa kingereza!!Kwanza huyo ndugai lugha inapanda? Maana mihimili ya sasa hv ni muhimili mmoja tu wa mahakama ndo lugha inapanda
Unawezaje kupata degree kwenye vyuo vyetu bila ya kuongea lugha ya Malkia tuache utaniLugha si kigezo ndugu. Si wote wanaoalikwa ni wazungumzaji wa kingereza!!
Tarehe 9 alikuwa ameshavuliwa ubunge?