Salum Mwalimu anaongea kwa hasira kakunja sura kama vile anatoa haja kamili
mtaelewa tuu
Salum Mwalimu anaongea kwa hasira kakunja sura kama vile anatoa haja kamili
Hao uwaite machogo, wazanzibara or anything watabaki kuwa ni wazanzibari wenye haki ya kupiga kura kuchagua viongozi wao wa zanzibar na hawabaguliwi, unaeleta ubaguzi ni wewe kwa sababu hujawaona wana wajihi kama wale masultan wako ambao kiukweli wao ndio wakuja, zanzibar kiasili ni ya wabantu upende usipende na kasumba zako za kiarabu na udini!
Waunguja wajae hivyo usione kibaraghashia wala abaya? Maawe!
we bibi kizee tulia vijana wafanye siasa , enzi zako zimekwisha .
Kila la kheri kamanda!!!
Hahahah vizur kwan tunahitaj vijanna waadilifu na wazarendo katika nchi yetu ya tz
Waunguja wajae hivyo usione kibaraghashia wala abaya? Maawe!
Wazanzibari wenyewe wakiiona hii nyuzi wanacheka na kusepa.
Kwa maoni yangu,Salum Mwalimu ni mwanasiasa kijana mwenye mvuto kuliko wanasiasa wote katika vyama vyote vya siasa.
Amenza mwaka 2015 kwa mafanikio makubwa.
Mwalimu kwa cheo chake,amewafunika wenzake kutoka vyama vingine vyote.
Atakisaidia sana chama chake.
Kwa maoni yangu,Salum Mwalimu ni mwanasiasa kijana mwenye mvuto kuliko wanasiasa wote katika vyama vyote vya siasa.
Amenza mwaka 2015 kwa mafanikio makubwa.
Mwalimu kwa cheo chake,amewafunika wenzake kutoka vyama vingine vyote.
Atakisaidia sana chama chake.
Ni wawapi?