Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
uyu ametumwa na usalama wa taifa na hili jaribio la pil kuimaliza cdm baada ya la zito na act kukwama.
uyu ametumwa na usalama wa taifa na hili jaribio la pil kuimaliza cdm baada ya la zito na act kukwama.
michadema mingine imekaa kiCCMuyu ametumwa na usalama wa taifa na hili jaribio la pil kuimaliza cdm baada ya la zito na act kukwama.
Hata kukaa kimya ni busara ya kiwango cha juu sana ndugu.Nimemuona Salim Mwalim na demu wake mbunge Ester Matiko chanel ten. Dah, ester matiko yuko bomba cute katibu mkuu wa chadema anafaidi sana.
Nimemuona Salim Mwalim na demu wake mbunge Ester Matiko chanel ten. Dah, ester matiko yuko bomba cute katibu mkuu wa chadema anafaidi sana.
Waunguja wajae hivyo usione kibaraghashia wala abaya? Maawe!
kweli mkuu,jamaaa yetu MM badala kumsaidia katibu anaunda makundiSafi sana Mwalimu, kwa sababu ya umahiri wake umelazimu hata Dr.Slaa kupata mda wa kupumzika.
Hata kukaa kimya ni busara ya kiwango cha juu sana ndugu.
Kweli salim mwalimu yuko vizuri sana huyu kamanda, tumuunge mkono anaweza.
Waunguja wajae hivyo usione kibaraghashia wala abaya? Maawe!