Nyongeza ya mshahara: Siri yafichuka,nini kilifichwa bungeni na waziri wa utumishi wa umma

ferre.g

JF-Expert Member
Mar 3, 2013
2,215
327
Ndugu wana JF habari zenu,

Nimekuja tena kuwajuza namna serikali ya CCM inavohujumu wafanyakazi wake na hasa WALIMU,ni hivi majuzi tu walimu waligoma na kupelekea wanafunzi kuhaha huku na kule wakihitaji kupaza sauti zao na hasa wale wa msingi na hata kufika kupeleka lawama kwa serikali kuwa iwalipe walimu kile wanachodai.

Lakini mbaya zaidi serikali ilikimbilia mahakamani na kuitumia hiyo kama kura TURUFU dhidi ya walimu na hapohapo walimu wakamuuliwa na mahakama kurudi kazini haraka na mezani kujadili MADAI YAO.

Ni kama sikio la kufa halisikii dawa,haki ya mumgu huwezi amini....leo nikiwa ofisi za AFISA UTUMISHI.....amenipatia waraka wa nyongeza ya mshahara wa 2013/2014 ukiwa umeonesha dhuluma kubwa sana kwa watumishi wa serikali yetu na kwa hili hatutakaa kimya na tutadai hadi kukuche na ikibidi kuwatoa madarakani,bora tufe huku tumesimama.NYONGEZA NI 8.4% KWA WATUMISHI WOTE.Tujadili;

1.Hivi kweli kwa mfumuko huu wa bei na ongezeko la KODI lilivokubwa hivi hawa wafanyakazi wataacha UFISADI na kutokukaa maofisini?

2.BIG RESULT NOW[BRN] je itafanikiwa ktk wizara hizi nne ambazo ni ELIMU,MIUNDO MBINU,KILIMO NA UCHUKUZI?

3.Hawa walimu hivi kweli watapata moyo tena wa kazi na ikizingatiwa waligoma kudai maslahi yao hadi serikali kwenda mahakamani na kuweka zuio?

4.KWA MFANO MIMI MWALIMU MWENYE NGAZI YA MSHAHARA YA TGTS-D1 INAMAANA NTAKUWA NACHUKUA MKONONI 447,654 WAKATI BASIC NI 586,789 NA MIMI NDO MUHITIMU WA CHUO KIKUU YANI NINA SHAHADA,SASA NI KWELI CCM WANAJALI WATUMISHI WA UMMA NA HASA WALIMU
 
Tukiacha majungu ni kwamba serikali imetania kabisa watumishi wake kuhusu nyongeza ya mishahara. Nadhani kwa watu ambao hawajauona huo waraka ukifika mwisho wa mwezi zitajaaa thread za kukandia serikali na nyongeza ya kitoto.
 
wewe ukiona ongezeko ni dongo huwa kunanjia nyingi za kuongeza kipato ikiwa ni pamoja na kuwa na miradi kadhaa amabayo itakuongezea kipato.
 
Tuliza jaziba hiyo ndo serlkali tuliyoichagua na sasa inakuja na mpango kabambe wa kuhakikisha mnafundisha mpaka mlale darasani unaitwa Gig results ukisindikizwa na Step ,kazi kwako

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
Tuliza jaziba hiyo ndo serlkali tuliyoichagua na sasa inakuja na mpango kabambe wa kuhakikisha mnafundisha mpaka mlale darasani unaitwa Gig results ukisindikizwa na Step ,kazi kwako

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums

Gig result ndo nini
"VV""
 
Walimu mkiamua mnaweza unakumbuka ile kauli ya kusema 'kama hamtaki basi sina shida ya kura zenu?'
 
Ndugu wana JF habari zenu,

Nimekuja tena kuwajuza namna serikali ya CCM inavohujumu wafanyakazi
wake na hasa WALIMU,ni hivi majuzi tu walimu waligoma na kupelekea
wanafunzi kuhaha huku na kule wakihitaji kupaza sauti zao na hasa wale
wa msingi na hata kufika kupeleka lawama kwa serikali kuwa iwalipe
walimu kile wanachodai.

Lakini mbaya zaidi serikali ilikimbilia mahakamani na kuitumia hiyo kama
kura TURUFU dhidi ya walimu na hapohapo walimu wakamuuliwa na mahakama
kurudi kazini haraka na mezani kujadili MADAI YAO.

Ni kama sikio la kufa halisikii dawa,haki ya mumgu huwezi amini....leo
nikiwa ofisi za AFISA UTUMISHI.....amenipatia waraka wa nyongeza ya
mshahara wa 2013/2014 ukiwa umeonesha dhuluma kubwa sana kwa watumishi
wa serikali yetu na kwa hili hatutakaa kimya na tutadai hadi kukuche na
ikibidi kuwatoa madarakani,bora tufe huku
tumesimama.NYONGEZA NI 8.4% KWA WATUMISHI
WOTE.
Tujadili;

1.Hivi kweli kwa mfumuko huu wa bei na ongezeko la
KODI
lilivokubwa hivi hawa wafanyakazi wataacha
UFISADI
na kutokukaa maofisini?

2.BIG RESULT NOW[BRN] je itafanikiwa ktk wizara hizi nne ambazo ni
ELIMU,MIUNDO MBINU,KILIMO NA UCHUKUZI?

3.Hawa walimu hivi kweli watapata moyo tena wa kazi na ikizingatiwa
waligoma kudai maslahi yao hadi serikali kwenda mahakamani na kuweka
zuio?

4.KWA MFANO MIMI MWALIMU MWENYE NGAZI YA MSHAHARA YA TGTS-D1 INAMAANA
NTAKUWA NACHUKUA MKONONI 447,654 WAKATI BASIC NI 586,789 NA MIMI NDO
MUHITIMU WA CHUO KIKUU YANI NINA SHAHADA,SASA NI KWELI CCM WANAJALI
WATUMISHI WA UMMA NA HASA WALIMU

mods, ondoa huu upuuzi, hatuwezi kuendelea kujadili upuuzi humu
 
Ndugu wana JF habari zenu,

Nimekuja tena kuwajuza namna serikali ya CCM inavohujumu wafanyakazi wake na hasa WALIMU,ni hivi majuzi tu walimu waligoma na kupelekea wanafunzi kuhaha huku na kule wakihitaji kupaza sauti zao na hasa wale wa msingi na hata kufika kupeleka lawama kwa serikali kuwa iwalipe walimu kile wanachodai.

Lakini mbaya zaidi serikali ilikimbilia mahakamani na kuitumia hiyo kama kura TURUFU dhidi ya walimu na hapohapo walimu wakamuuliwa na mahakama kurudi kazini haraka na mezani kujadili MADAI YAO.

Ni kama sikio la kufa halisikii dawa,haki ya mumgu huwezi amini....leo nikiwa ofisi za AFISA UTUMISHI.....amenipatia waraka wa nyongeza ya mshahara wa 2013/2014 ukiwa umeonesha dhuluma kubwa sana kwa watumishi wa serikali yetu na kwa hili hatutakaa kimya na tutadai hadi kukuche na ikibidi kuwatoa madarakani,bora tufe huku tumesimama.NYONGEZA NI 8.4% KWA WATUMISHI WOTE.Tujadili;

1.Hivi kweli kwa mfumuko huu wa bei na ongezeko la KODI lilivokubwa hivi hawa wafanyakazi wataacha UFISADI na kutokukaa maofisini?

2.BIG RESULT NOW[BRN] je itafanikiwa ktk wizara hizi nne ambazo ni ELIMU,MIUNDO MBINU,KILIMO NA UCHUKUZI?

3.Hawa walimu hivi kweli watapata moyo tena wa kazi na ikizingatiwa waligoma kudai maslahi yao hadi serikali kwenda mahakamani na kuweka zuio?

4.KWA MFANO MIMI MWALIMU MWENYE NGAZI YA MSHAHARA YA TGTS-D1 INAMAANA NTAKUWA NACHUKUA MKONONI 447,654 WAKATI BASIC NI 586,789 NA MIMI NDO MUHITIMU WA CHUO KIKUU YANI NINA SHAHADA,SASA NI KWELI CCM WANAJALI WATUMISHI WA UMMA NA HASA WALIMU

mkuu yaonekana unahasira kweli unaweza kupata tofauti ya malipo yaliyopo kati yako wewe mwalimu na watumishi wengine yawezekana hakuna tofauti kubwa sana au inafanana kwa kada nyingi.

Lakini umeonesha hasira mpaka unasema tadai haki yako hata kama ufe lakini kumbuka pesa ya serikali siyo kwa ajili ya mishahara peke yake ni pamoja na matumizi mengine mfano ujenzi wa miradi mbali mbali nk.

Mkuu kwa nini udai haki yako mpaka ufe kwa nini usiache kazi serikalini ukatafuta kazi nyingine kwa sababu mishahara ya serikali siyo mikubwa sana,kulikoni ufe bora uache kafanye kazi zingine upate kipato kikubwa.
 
Ndugu wana JF habari zenu,

Nimekuja tena kuwajuza namna serikali ya CCM inavohujumu wafanyakazi
wake na hasa WALIMU,ni hivi majuzi tu walimu waligoma na kupelekea
wanafunzi kuhaha huku na kule wakihitaji kupaza sauti zao na hasa wale
wa msingi na hata kufika kupeleka lawama kwa serikali kuwa iwalipe
walimu kile wanachodai.

Lakini mbaya zaidi serikali ilikimbilia mahakamani na kuitumia hiyo kama
kura TURUFU dhidi ya walimu na hapohapo walimu wakamuuliwa na mahakama
kurudi kazini haraka na mezani kujadili MADAI YAO.

Ni kama sikio la kufa halisikii dawa,haki ya mumgu huwezi amini....leo
nikiwa ofisi za AFISA UTUMISHI.....amenipatia waraka wa nyongeza ya
mshahara wa 2013/2014 ukiwa umeonesha dhuluma kubwa sana kwa watumishi
wa serikali yetu na kwa hili hatutakaa kimya na tutadai hadi kukuche na
ikibidi kuwatoa madarakani,bora tufe huku
tumesimama.NYONGEZA NI 8.4% KWA WATUMISHI
WOTE.
Tujadili;

1.Hivi kweli kwa mfumuko huu wa bei na ongezeko la
KODI
lilivokubwa hivi hawa wafanyakazi wataacha
UFISADI
na kutokukaa maofisini?

2.BIG RESULT NOW[BRN] je itafanikiwa ktk wizara hizi nne ambazo ni
ELIMU,MIUNDO MBINU,KILIMO NA UCHUKUZI?

3.Hawa walimu hivi kweli watapata moyo tena wa kazi na ikizingatiwa
waligoma kudai maslahi yao hadi serikali kwenda mahakamani na kuweka
zuio?

4.KWA MFANO MIMI MWALIMU MWENYE NGAZI YA MSHAHARA YA TGTS-D1 INAMAANA
NTAKUWA NACHUKUA MKONONI 447,654 WAKATI BASIC NI 586,789 NA MIMI NDO
MUHITIMU WA CHUO KIKUU YANI NINA SHAHADA,SASA NI KWELI CCM WANAJALI
WATUMISHI WA UMMA NA HASA WALIMU

house girl wako unamlipa shilingi ngapi?
 
halafu anajiita mwalimu mwalimu gani hana akili sasa hao wanafunzi atawafundishaje.
 
Hutakiwi kupanic wewe kila ukiingia darasani kuanzia form 1-6 wafundishe tu kutokuipenda serikali,wahamasishe wanafunzi kujiandikisha kitabu cha kura na mwisho kabisa waangushe kwenye sanduku la kura,hapo tutafanikisha na tutashinda

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mkuu yaonekana unahasira
kweli unaweza kupata tofauti ya malipo yaliyopo kati yako wewe mwalimu
na watumishi wengine yawezekana hakuna tofauti kubwa sana au inafanana
kwa kada nyingi.

Lakini umeonesha hasira mpaka unasema tadai haki yako hata kama ufe
lakini kumbuka pesa ya serikali siyo kwa ajili ya mishahara peke yake ni
pamoja na matumizi mengine mfano ujenzi wa miradi mbali mbali nk.

Mkuu kwa nini udai haki yako mpaka ufe kwa nini usiache kazi serikalini
ukatafuta kazi nyingine kwa sababu mishahara ya serikali siyo mikubwa
sana,kulikoni ufe bora uache kafanye kazi zingine upate kipato
kikubwa.

mkuu usishangae sana. hizo ndo akili za bavicha. bora afe tu maana hana msaada wowote kwa taifa hili. hata wakiingia darasani walimu wa aina hii wanafundisha utumbo tu. angekuwa mwalimu mzuri kama mwalimu wangu Masebo aka baba frank nafikiri kila shule wangemgombania. maana kuna shule kibao za private lakini anashindwa kuchukuliwa huko maana wanajua ni galasa
 
Walimu wanatakiwa washikane pamoja ili haki za watanzania wote zipatikane.
Chini ya utawala huu wa ccm walimu wanaonekana kama punda, na lazima wafikishe mzigo wa bwana.

Nje ya mishahara hii ambayo imepandishwa halafu wakaichukua kwa mlango wa nyuma (makato ya kodi), walimu wanatakiwa kupata privilege zingine kama marupurupu ya kufanya kazi katika mazingira magumu, posho za usafiri, matibabu na kulipiwa nyumba.

Juzi nilikuwa Singida, nimeshangaa walimu wengi wamepumbazwa na Mohamed Dewji kwa maslahi yake, eti kisa anawapa wanapata misaada midogo.
 
Hutakiwi kupanic wewe kila
ukiingia darasani kuanzia form 1-6 wafundishe tu kutokuipenda
serikali,wahamasishe wanafunzi kujiandikisha kitabu cha kura na mwisho
kabisa waangushe kwenye sanduku la kura,hapo tutafanikisha na tutashinda

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

ungemjua mwalimu mwenyewe wala usingetoa ushauri huo. huyu ni mwalimu wa vichaa pale milembe
 
Walimu wanatakiwa washikane
pamoja ili haki za watanzania wote zipatikane.
Chini ya utawala huu wa ccm walimu wanaonekana kama punda, na lazima
wafikishe mzigo wa bwana.

Nje ya mishahara hii ambayo imepandishwa halafu wakaichukua kwa mlango
wa nyuma (makato ya kodi), walimu wanatakiwa kupata privilege zingine
kama marupurupu ya kufanya kazi katika mazingira magumu, posho za
usafiri, matibabu na kulipiwa nyumba.

Juzi nilikuwa Singida, nimeshangaa walimu wengi wamepumbazwa na Mohamed
Dewji kwa maslahi yake, eti kisa anawapa wanapata misaada
midogo.

halafu wabongo bana? taarifa za uzushi ndo wanazishadadia ila za kweli hawajadili. mbona waziri wa kazi alitangaza kuwa nyongeza ya mshahara ni asilimia 25 kwa watumishi wa umma? au tayari mmesahau?
 
amechanganyikiwa huyu maana hata anachokiandika hakijui

big result- ni mpango ulioandaliwa na Jk ili waalimu wafundishe kwa ari kubwa na hatimaye kupatikana kwa matokeo yanayoridhisha. Sema tu we ndo umechanganyikiwa
 
Back
Top Bottom