Ile siku ya pasaka nilikua gomz aisee yale magari ya gomz msasani yalivyojaza acha kila bus, sikukuu zote Bongo watu wanakua wengi beach sio sikukuu za Eid tu,,,wabongo hawana utaratibu wakutulia majumbani na kama upo ni kwawachache sana!Kama huamin subir Xmass ukajionee pia
Si ni sikukuu na watu wa imani mbalimbali hutumia siku hiyo kusherekea, ni sawa na maduka mengi kufungwa jumapili ndio utasema wote wameenda kanisani au ni wakristo ndio maana wamefunga maduka jumapili?
Oooh, nilikuwa sifahamu, basi wameturudisha nyuma, kuna haja ya kuhuisha hayo yote kwa maslahi mapana ya ummaHayo mambo yalikuwepo miaka ya nyuma, ccm inahusika na huu uharibifu hata school bus zao wenyewe waliziuwa na shule za jumuiya ya wazazi ambazo ndio zilikuwa kimbilio ukikosa selection ya Government schools pia nàzo wameziuwa.
Sisi tupo huku kyela beach za kwenye mabwawa tunajiachia tu mamba kama wote

Upo sahihi, sema tu PASAKA iliangukia mwezi wa RAMADHAN, isingekuwa hivyo watu wangekuwa mara 2 au 3 ya uliowaona siku hiyoIle siku ya pasaka nilikua gomz aisee yale magari ya gomz msasani yalivyojaza acha kila bus, sikukuu zote Bongo watu wanakua wengi beach sio sikukuu za Eid tu,,,wabongo hawana utaratibu wakutulia majumbani na kama upo ni kwawachache sana!Kama huamin subir Xmass ukajionee pia
Mradi wa school bus wameuwa kina Masaburi wakati akiwa yeye ndio mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Dar.Oooh, nilikuwa sifahamu, basi wameturudisha nyuma, kuna haja ya kuhuisha hayo yote kwa maslahi mapana ya umma
Mradi wa school bus wameuwa kina Masaburi wakati akiwa yeye ndio mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Dar.
Kulikuwa pia kuna shirika la uchumi na kilimo Sukita nalo wameliuwa, sasa watu wanaouwa investment zao wenyewe binafsi unapowakabidhi mali za Taifa unategemea nini?
Jitahidi uwe unachamba kabla kuingia humu jukwaani sasa ona unachafua mada na mimavi yako..Waislamu fungulia umbwa Sasa kitimoto itapanda bei manake ndo hasa wateja wa ile kavu halafu dada poa ndio usiombe watakuja hadi majumbani. Kufungulia hoyeeee
Dah!!! Hii ilikuwa kitambo sana. Hadi dereva ni mzungu!!!!!Wakati wa sikukuu miaka hiyo ya nyuma Dar hakukuwa na shida ya usafiri ingawa familia nyingi hazikuwa na magari kwa sababu watu wengi walikuwa na sehemu za kusheherekea sikukuu maeneo yao hukohuko.
Tuliokuwa tunapenda kutoka tulitumia usafiri huu wa usafiri Dar Uda.
Hiyo ni Icarus kumbakumba.
View attachment 2211893