SI KWELI Nyomi mikutano ya Samia Mbeya

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Katiba mbaya ya CCM inafahamika tangu enzi za Nyerere. JK alitumia Tsh 400 Billion na Katiba hatukuiona. Magufuli alisema Katiba haikuwa ahadi yake ya Kampeni.

Samia kasema ataleta Katiba Mpya akichaguliwa. Ubaya uko wapi hapo?

Ubaya uko hapa:

"Tangia 2021 kavuta miguu kuhusu mabadiliko kwa hila ili kwa namna yoyote awe kitini hadi angalau 2030."

Yaangalie maneno yaliyopigiwa mstari kama mwenye akili timamu.

Tatizo huoni wewe?
 
Watanzania wanamsoma yeye na Pole Pole halafu wanapima wenyewe pumba zipi na ngano safi ni ipi.
 
Hizo ndiyo strategy. Hata wakati wa Mkapa kulikuwa na TOT Band chini ya Capt John Komba. Nothing new
Kwa miaka ya sasa ingekuwa ni TOT band pekee inatumika watu wasingeenda kwa wingi mikutanoni kuwashangaa tofauti na wasanii miziki yao inasikika redioni, youtube, video nk
TOT imechuja ndio maana hamuitumii!!.
 
Kwa hiyo ulitaka Rais awafuate Igawilo na Tukuyu, Chimala na Tunduma? You idiot jelousy will kill you
Dog ! Sasa yeye c ndio mhitaji anataka kula na kura kwanini asiwafwate? After all wananchi ndio mabosi wake you Dog!
 
Hao hapo ni wanafunzi pamoja na watumishi wote wa uma na wanajeshi. Sisi pia ni CCM tunajua. Tujiki
 
Mama Samia anajaza Sana mikutano kiukweli
Mshauri athubutu kufanya mkutano popote bila kusomba watu wala kutumia wasanii...uone tofauti!.
Sa100 mwenyew hata kuhutubia ni tatizo hana mvuto...pale Kawe wasanii walivyomaliza kuimba alivyoanza tu kuhutubia kuna baadhi ya watu walianza kusepa wakawa wanazuiwa na walinzi wa ccm wasubiri mkutano hadi uishe!!!.

Mapenzi ya ccm kwa wananchi kwa miaka ya karibuni ni ya kulazimisha, hebu imagine chadema wangetumia hata nusu tuu ya nguvu ccm wanazotumia ktk mikutano yao hali ingekuwaje?? Nadhani watu wangekuwa wanakufa kwa kukanyagana kwa wingi wa watu mikutanoni!!!!.
 
Mange anachotaka mkutano uwe hata na watu 100, lakini kiuhalisia hao ni watu wachache sana tofauti na kampeni za nyuma za ccm...
Hata camera man anajitahidi kupiga picha katika angle ionekane wamejaza.. lakini hamna kitu..
 

Tusubiri mpaka siku ya uchaguzi tuone kama siyo njaa nfiyo inayowapeleka watu kwenye hiyo mikutano
 
Mkuu Smart wajinga wengi Tanzania hii, watu wanakubali kulishwa matango pori.

Pale Bandarini alikuwepo TICTS Kwa miaka 20 inamaana Mkapa aliiuza nchi kwa wakristo?.

Mbona ulipofika muda wao kuondoka walivunjiwa mkataba wakatimua zao?.

Alipokuwa anaendesha TICTS kwa sasa anasimamia Adani na ndio yenye faida kubwa kuliko yale anayosimamia DP World.
 
Kama watu wanabebwa hadi kutoka makambako unafikiri watu hawata jaa
 
Hao watu wanaosombwa wanalazimishwa?
 
Mkuu Smart wajinga wengi Tanzania hii, watu wanakubali kulishwa matango pori.

Pale Bandarini alikuwepo TICTS Kwa miaka 20 inamaana Mkapa aliiuza nchi kwa wakristo?.

Mbona ulipofika muda wao kuondoka walivunjiwa mkataba wakatimua zao?.
Mkuu Steven,

Watu wengi Tanzania hawaelewi mambo, hawafuatilii na ni wepesi kurukia kila hoja..

Issue ya Bandari - Mkapa aliwapa TICTS kamouni tanzu ya Hutchson ya western kwa miaka 20. Mkataba uliposiha walitaka wapewe tena Serikali ikapiga chini...

Hapo ndio changamoto ilikuja - walitaka hata kama asipopewa basi apewe Maersk (western mwingine) - Serikali ikaipa DP world (Mwarabu) - vita kubwa ikaibuka....

Bishara nyingi za watu zilipigwa mkasi - walihonga sana wale jamaa kuchafua ile move - lakini Serikali ishaamua (kulikuwa na madudu kibao) siyo kwamba yataisha soon lakini serikali iliona ni muhimu sana kubadili mwekezaji... sasa wananchi ni fuata upepo - mara kabisa limetoa waraka nk nk (kwani Tanzania ndio nchi ya kwanza kuweka mwekezaji kwenye bandari??) nchi karibia zote duniani zenye bandari zinafanya hivyo - zinaacha private sector ifanye.
 
 

Attachments

  • 20250512_172008.jpg
    45.1 KB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…