Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,129
- 7,450
Nipo hapa kirima namalizia balimi niende kwa super kitasa kula kitimoto nikalaleNipo kwa Rwezaula hapa njoo
Hilo chimbo la Serengeti lilitamba Sana 2009 to 2013nipo serengeti hapa napoteza muda nizame chimbo jipya karibu na pesaba ,
Kuna night club mpya sabsijari ya Rhode .
ndege JOHN
Dripboy
kipindi hicho nlikuwa yankiiii yaani yanki kabisa nimelikuta linaishia mkuuHilo chimbo la Serengeti lilitamba Sana 2009 to 2013
Tumekula Sana maisha hapo kuku ilikuwa buku 5 kuku mzima aliyechomwa happy stendi ya zamani aka ubungokipindi hicho nlikuwa yankiiii yaani yanki kabisa nimelikuta linaishia mkuu
😂😂😂 kipindi hicho ndicho nilikuwa naanza kazi na mizuka balaa nilikichafua sana mazingira yale kisa buku mbili nikasababisha uharibifu wa mali za watu na kukamatwa madogo na bajaj yao aisee tumetoka mbali sanaLazima walikukalisha,maana shemeji zangu kwakulianzisha hawajambo
Weka picha...maneno hayatosh..
Kibaoni uwanja wangu wa nyumbani huo
MKUU wanapatikana kuanzia mda ganiWazee leo nimetembelea sehemu moja inaitwa nyokaa lounge hapa singida mjini ,
Kuna totoz hizooo, yaani ni full of pensi. Ukiwatazama kwa umakini utazani wamevalishwa Pampers za watoto wachanga kwa nyuma.
Ila kuna binti la kimbulu isee hii ndio inafaa kwa matumizi ya consumers.
Singida mjini ni sehemu gani yenye night club kama hii?
MKUU wanapatikana kuanzia mda ganiWazee leo nimetembelea sehemu moja inaitwa nyokaa lounge hapa singida mjini ,
Kuna totoz hizooo, yaani ni full of pensi. Ukiwatazama kwa umakini utazani wamevalishwa Pampers za watoto wachanga kwa nyuma.
Ila kuna binti la kimbulu isee hii ndio inafaa kwa matumizi ya consumers.
Singida mjini ni sehemu gani yenye night club kama hii?
MKUU wanapatikana kuanzia mda gani paleWazee leo nimetembelea sehemu moja inaitwa nyokaa lounge hapa singida mjini ,
Kuna totoz hizooo, yaani ni full of pensi. Ukiwatazama kwa umakini utazani wamevalishwa Pampers za watoto wachanga kwa nyuma.
Ila kuna binti la kimbulu isee hii ndio inafaa kwa matumizi ya consumers.
Singida mjini ni sehemu gani yenye night club kama hii?
Naona dalili za wazi kabisa za kichwa cha juu kuzidiwa nguvu na kile kichwa kikorofi cha chini kwa mbaaaliii!!!MKUU wanapatikana kuanzia mda gani pale
Sawa mkuu mjomba Athumani muhimu😂😂😂 ile ingekuwa vizuri ungeniambia mda wanaopatikana mkuu ili nikienda sibahatishi✊🧔Naona dalili za wazi kabisa za kichwa cha juu kuzidiwa nguvu na kile kichwa kikorofi cha chini kwa mbaaaliii!!!
Kama upo eneo la tukio, jitahidi kufanya mwenyewe utafiti mpaka ufanikiwe. Uneshaoneshwa njia! Kilichobakia hapo ni kwenda tu kumridhisha Athumani