Nyoka wa ajabu

kumbe mshirikina anaweza kukupa ushauri wa kwenda msikitini au kanisani?... ni upendo ulioje wa namna hii?, sasa kwanini mashehe na wachungaji wanabania waumini kwenda kwa washirikina?
 
Kwahiyo ukifanya hayo ndio unaota umegeuka kuwa nyoka?
 
We utakuwa ulikuwa una 'Ota' sio bore!!!
 
Sawa lakini jana ulikuwa siku ya mapumziko
 
Mkuu kutubu dhambi ni kama kupewa dhamana tu ama kuachiwa kwa utaratibu wa Parole wa kifungo cha nje ila suala la kwamba umeshahukumiwa liko pale pale!
Sasa una maanisha nini hapo?
 
Sasa nimekupata je wewe unaamini katika ndoto au maono
Huwa sifatishi ndoto kabisa, na huwa naota vitu vingi tu lakini napuuzia, hiyo ilinishangaza kwavile ilikuwa mchana halafu tofauti na ndoto zingine hiyo nimeota kama ninmebadilika na kuwa nyoka, na pia niliweka bayana kuwa lengo la huu uzi sio tu kuambiwa ndoto hiyo ina maana gani tu, bali pia nilipenda kwenda deep zaidi ili nipate kufahamu kama mimi ni binadamu mwenye mawazo ya nyoka au Nyoka mwenye mawazo ya kuwa binadamu au ni vipi?
 
 
Ebu tuone picha yako ulivyokuwa nyoka na ukiwa binadamu then tujaji unafananaje zaidi.
 
Ebu tuone picha yako ulivyokuwa nyoka na ukiwa binadamu then tujaji unafananaje zaidi.
Lengo la uzi huu haikuwa kujua nafananaje vinginevyo ningetumia kioo tu
Hebu jaribu kusoma tena kisha ndo urudi kuchangia mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…