Nyoka wa ajabu

Asante sana mkuu kwa maelezo yako,
Na kama sina kisasi na mtu je? Hii inaweza kuwa nini?
Maana hakuna mtu ambae nna kisasi nae
 
Kama huna kisasi basi watumika kuangamiza wengine na yule jamaa wa kupingana na aliyetuumba.
 
Naona unawatisha kiaina vijana wa Kapuku walokuwa wanakuvizia.
 
Ukitafsiri kwa kutumia vitabu vya dini ni kwamba nyoka ni shetani na njiwa ni mwema na kunguru aliasi maagizo ya nuhu alipomtuma kwenda kuangalia hari ya usalama nje na hakurudi baada ya kuona mizoga
tafsiri;wewe unafanya mambo ya kishetani lakini haya mambo wewe binafsi unayaona mema lakini mambo hayo yatakuletea mambo mabaya jichunguze
 
Tatizo lako we unajikuta atheist! Na bado mpaka utakapo mtubia mungu!
Wewe ni mfano wa shetani ambaye huwa kuna muda unataka kubadilika na kumfuat mungu!
Lakini kuna kipindi huwa unajifAriji hati mungu........
Soln! MWAMINI MUNGU LASIVYO UTAUNGANA NA SHETANI ambaye ni huyo NYOKA!
 
Kaunga huyo ana JIKUTA ATHEIST! soln HAMWAMINI MUNGU!!! HUKO ALIPO KUNA MDANGANYA!
 
Dah... Hivi hata kisichana kinaweza kuwa na cheti feki???🙄
 
Mmmh hii ya kuangamiza watu haiwezi kuwa kweli maana hakuna mtu nnaentaka kumuangamiza
Ila shetani hakuwepo ndotoni kabisa mkuu
ila shetani alikuwepo kwenye bustani ya Edeni eeh?
 
Asante sana mkuu kwa maelezo yako,
Na kama sina kisasi na mtu je? Hii inaweza kuwa nini?
Maana hakuna mtu ambae nna kisasi nae
Unamfuata njiwa mzuri kwa chakula......huenda kuna mkaka unampenda ambaye unaona anakufaa. Lakini Mungu na wewe mnajua kabisa ukimpata utamuangamiza (financially., socially, spiritually). Hivyo Mungu anaamua kumgeuza ili asipendeze machoni mwako (nyoka/evil spirit); then unaacha kumfuata. Wewe the mortal you huna kisasi na mtu lakini the evil spirit (nyoka) in you is there to steal, kill and destroy. Bado chunguza uhusiano wako na Mungu. Any contrary and familiar spirit in you should chased out in The Name of Jesus.
 
Ni mjinga tu ndo anayepuuzia ndoto, ndoto huwa zina maana sana. Hata hii yako huwa ina maana, ndoto zisizo na maana huwa hazishtui nafsi ya mtu baada ya kuamka.

Cha msingi Mkuu mtafute jamaa anayeitwa freedom tommorrow, yeye ni best katika kutafsiri ndoto humu.
 
Hebu nipe mfano wa hayo wa hayo mambo ya kishetani?
 
Shetani ni mhusika fake kwenye hivyo vitabu wanavyoviita vya Mungu
 
Kumbe shetani ni nyoka...
 
Ngoja tumsubiri aje tumsikie maneno yake
Cc freedom tomorrow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…