Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,556
- 21,694
Kama unaendesha Pikipiki au Baiskeli unakutana na nyoka mkubwa kama huyu itabidi usimamae apite ndipo na wewe upite kwa usalama wako.
Hicho kioo lazima kiwe na ubora unaostahili lasivyo tunaweza kula ubwabwa wa matanga....Njia nyingine wanatumia hawa watu wanaokamata nyoka kwa ajili ya masomo na kazi nyingine ,ila unatakiwa uwe mjasiri..Wanatumia kioo kikubwa ,nyoka anagonga kioo akifikiri anakugonga wewe mpaka anachoka.
Wakati huo unapiga u-turn atakua anakusubiria tu au siyo?Sasa si atakufanya kitoweo? Hapo ni Kupiga u-turn na kurudi ulikotoka kwa speed ya Hali ya juu Kuokoa nafsi Tena unahairisha safari kabisa maana huenda anafanya timing ukajua katokomea kumbe yupo around.
Koboko ni mkubwa hivyo mkuu???Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu IKatavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
Kwa koboko inawezekana, lakini si kwa huyu tuliwekewa hapa hana sumu
3afana 3aleish !! Mende unaogopa , Panya pia na nyoka anakutisha!!Mm, mie ningezimia ninge muona live.. Naogopa nyoka hata awe mduchu...
Dah,noma sana huyu,kumbe uwezo wake ni tani 5 kushuka chini!Tumeelewa sasalabda lori lenye mizigo tena kuanzia tani 5 na kuandelea, chini ya hapo anadondosha gari huyu.
hakuna madhara,labda akikosea kugonga,agonge bega,lakini uwa tunajiprotect,nakumbuka dodoma mpwapwa koboko alimgonga mtu na kufa hapo hapo na mwili ulibadilika rangi na kuwa blue,akikugonga ni bora ukae chini ukitembea poison inasafiri faster mwili wote,pia hapo hapo mpwapwa kikombo road koboko aliwahi kugonga kioo cha gari cha mbele akidhania watu wale wapo nje,kile kioo akikupasuka ila kilichange rangi na kuwa blue na kama ukungu,sumu yake uwa inakimbilia kwenye brain na masozi.ni nyoka mkali sana,akishituliwa uwa anagonga hata mti au jiwe.
Dk 20 au 30 ni cobra!Ni kweli mkuu nyoka aina ya black mamba(koboko) ni hatari ila hawezi kuwa hatari zaidi ya simba
1:Akikugonga una dakika 20 hadi 30 za kupata matibabu sahihi au unakufa,
2:Akikukomalia anakukimbiza na anakupata sio lazima ajiviringishe sehemu ili akugonge
3:Nyoka wengi akikugonga anaacha meno ila huyo bwana haachi
4:Kiboko yake ni nguchiro,anapiga chenga mpaka nyoka anachoka halafu anamuwahi kichwa
yule ana sumu kali kuliko black mamba
anakusababisha tumbo linavimba
atiiiii?????ana sumu kali sana,?au anagonga sehem nyeti???
3afana 3aleish !! Mende unaogopa , Panya pia na nyoka anakutisha!!
ingetokea gari imkanyage
Ni kweli mkuu nyoka aina ya black mamba(koboko) ni hatari ila hawezi kuwa hatari zaidi ya simba
1:Akikugonga una dakika 20 hadi 30 za kupata matibabu sahihi au unakufa,
2:Akikukomalia anakukimbiza na anakupata sio lazima ajiviringishe sehemu ili akugonge
3:Nyoka wengi akikugonga anaacha meno ila huyo bwana haachi
4:Kiboko yake ni nguchiro,anapiga chenga mpaka nyoka anachoka halafu anamuwahi kichwa