Hapo sasa sawa mkuu maana huyu mdudu nasikia ana misuli ina nguvu balaa sasa maumivu ya kukanyagwa na tairi za mbele say una pick up akiwa uvunguni akahamaki inakiwa salama kiasi gani maana asije kunila kwa hasira zaid!!!!
usije ukajaribu hata siku maana wengi hukakama na kuwa kama tuta la zege hasa juyu koboko mwenye sumu kali. Angalizo koboko huwa hapitwi mkiani wala kumwagiwa mchanga maana huruka kimgongomgongo a.k.a salakasi na kumgonga mtu
Kaka rasta ziko aina nyingi na ukubwa tofauti sana, zipo rough road na kwenye lami pia!!!!
Zipi unaongelea???!!
Rasta ni non reactive, huyo nyoka kwa ukubwa huo tahadhari lazima iwepo sio "given" outcome hapo!!!