Nyoka Koboko au Black Mamba

Nyoka Koboko au Black Mamba

Kama uko mahali unaweza kupata mafuta ya taa na pamba kidogo au tambara laini unamuua kirahisi. Utotoni kijijini timewaua sana hawa na tulikuwa tunawapeleka kwa bibi fulani hivi anatupa asali. Good ole days...
ukishapata hvo vitu then unavitumiaje mkuu? maana huo ndo utaalamu wenyewe.
 
uwezi kumkimbia koboko ana speed ya mwanga uyo mdudu,,, pili ni mtata sana anapenda kugonga kichwani,,

dawa yake ni kutembea na sufuria ya uji wa moto kichwani akigonga tu kafa
 
Dawa nyingine chukua kundi la kondoo wengi waswage uwapitishe alipo atagonga mmoja tu na kuishiwa sumu na mnamuua Sasa bila shida,ila ukubali kupeteza kondoo mmoja.
mh mkuu ni sawa tu kwani uhai wa kondoo hauthaminishwi na uhai wa mwanadamu..
 
uwezi kumkimbia koboko ana speed ya mwanga uyo mdudu,,, pili ni mtata sana anapenda kugonga kichwani,,

dawa yake ni kutembea na sufuria ya uji wa moto kichwani akigonga tu kafa
speed of light..kama ni hivyo basi hatari sana
 
Back
Top Bottom