abdulqadirj
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,018
- 3,203
- Thread starter
- #61
yaani ndo ameamua kutuwekea na Uno kabisaDaaah,ila huyo mwamba aliyemuuwa anavyojidai sasa,halafu dude ni refu balaaa
yaani ndo ameamua kutuwekea na Uno kabisaDaaah,ila huyo mwamba aliyemuuwa anavyojidai sasa,halafu dude ni refu balaaa
Mkorofi sana...kiufupi hapendi kelelenouma Sana, kwamba ni show show yaani
Kwel ukikutana nae inabid upige tu salaWatu wengi waliokutana nae wakatulia wakasali sala zao mwisho wameokoka hakuwagusa, ila ukijifanya we ni mwamba, unakimbia huku unapiga makelele...ni anakukimbiza huku anakugonga double double mpaka unageuka rangi ya chungwa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
nasikia eti anagonga utosini tu?Mkorofi sana...kiufupi hapendi kelele
Wewe mkigonganisha macho inama tulia, simama usitingishike atajua huyu hana noma na mimi....lkn eti mmekutana unatafuta fimbo, huku unasonya sonya, umepagawa na mikelele...lazima akupe kubwa...
Hamna kitu hapoawee mkuu usiseme hivo kuna vijamaa ni vibishi
kwa maana black mamba anazidi urefu wa huyo pichani??Asante kwa uzi mzuri wa mwamba koboko,ila huyo kwenye hiyo picha yako siye black mamba,kwa uwiano wa ukubwa wa huyo pichani angekuwa ni black mamba urefu wake ungekuwa zaidi ya hiyo nusu yake.
Wanaosema ubebe sufuria la uji ina maana hagongi sehemu tofaut ya mwili zaid ya kichwani?Mkorofi sana...kiufupi hapendi kelele
Wewe mkigonganisha macho inama tulia, simama usitingishike atajua huyu hana noma na mimi....lkn eti mmekutana unatafuta fimbo, huku unasonya sonya, umepagawa na mikelele...
1.kwa hiyo kama anamgonga mtu huwa kuna dawa yoyoteMkorofi sana...kiufupi hapendi kelele
Wewe mkigonganisha macho inama tulia, simama usitingishike atajua huyu hana noma na mimi....lkn eti mmekutana unatafuta fimbo, huku unasonya sonya, umepagawa na mikelele...
Hatamdhuru na atajitahidi wasikutane, ila we ukiingia kwenye hilo shamba anajua we ni mwizi kwahiyo utakomana ni kweli hatamdhuru mwenye shamba??
Amuue wapi huyo kakutana na dubwashaa limeshajifia kwa ajaliDaaah,ila huyo mwamba aliyemuuwa anavyojidai sasa,halafu dude ni refu balaaa
Mmmh siafu wasumbufu sana asee, hata tembo na ukubwa wake wanamdondoshaPia siafu mahali walipo n lazima ahame
.huyu ni mwamba, huyo nguchiro naye ana sifa gani ya hatari??Aisee huyo nyoka ni kasheshe mzee anaweza tembeza bites kwa wachangiaji wote wa huu uzi kwa dakika moja.
Ila pamoja na ununda wake wote koboko hatambi kwa mangoose, mara kadhaa nimeona koboko akiuliwa na hiki kimnyama.
Huyo ni black mamba mkuu aliyekomaa kabisa.Asante kwa uzi mzuri wa mwamba koboko,ila huyo kwenye hiyo picha yako siye black mamba,kwa uwiano wa ukubwa wa huyo pichani angekuwa ni black mamba urefu wake ungekuwa zaidi ya hiyo nusu yake.
Snake killer, kina vimeno yenye makali kama kiwembe.huyu ni mwamba, huyo nguchiro naye ana sifa gani ya hatari??
Hana majeraha ya ajali, huyu mwamba kuna namna kafanya kumpata huyu kiumbe.Amuue wapi huyo kakutana na dubwashaa limeshajifia kwa ajali
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yes..ndo maana anasimamia mkia ili akugonge vizurinasikia eti anagonga utosini tu???