kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Mtakufa bure kwa kutembea na wajukuu zenu. Leo nilikuwa nasimamia kidogo biashara ya familia (Nyumba ya wageni)
Punde kibabu kikaingia na kabinti mjuzi wa mambo. Walipo fika wakawasha Tv wakawa wanacheki movie ya X.
Walipo anza mchezo kwa mujibu wa binti, babu akawa anaiga mastaili ya mzungu.
Mama weee! Babu kurusha rusha miguu na mikono akataka kupata strock.
Binti akaja kuniita ndio tulipo mpa msaada wa kumkandakanda viungo mikono na miguu.
Mababu, kwani mabibi awapo???????
Punde kibabu kikaingia na kabinti mjuzi wa mambo. Walipo fika wakawasha Tv wakawa wanacheki movie ya X.
Walipo anza mchezo kwa mujibu wa binti, babu akawa anaiga mastaili ya mzungu.
Mama weee! Babu kurusha rusha miguu na mikono akataka kupata strock.
Binti akaja kuniita ndio tulipo mpa msaada wa kumkandakanda viungo mikono na miguu.
Mababu, kwani mabibi awapo???????