Ushindwe, dogodogo mle nyie tu?
Aliyewaambia ukizeeka hutaki vizuri nani?
Na nyie mnazeeka, kwani sie tulizaliwa wazee?
na atakufa na njaa wacha watu wakate mguu sijui atakula wapi wakati hizo quickie ndio zinampa ulaji maana hata risiti hatoi.
Umeviacha vizee siku hizi? au ndo kama wanasiasa wa TZ wajifanya kushadidia ufisadi wakati usiku wao wanaomba rushwa na kutoa vimemo vya watoto wao waajiriwe
mapigo ya mjukuu
yalimzidi uwezo babu hehehee!!
Umeviacha vizee siku hizi? au ndo kama wanasiasa wa TZ wajifanya kushadidia ufisadi wakati usiku wao wanaomba rushwa na kutoa vimemo vya watoto wao waajiriwe
mmmh! Kwani na wewe ni kibabu?
Mwambie huyu anafikiri sisi tulizaliwa vikongwe
Chukua like yangu na ubarikiwe maana ukimuuliza Lara1 atakueleza utamu wake
niviache wapi nanjilinji
vinahonga sana aisee kuviacha na dhambi!
Chukua like yangu na ubarikiwe maana ukimuuliza Lara1 atakueleza utamu wake