klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
hivi bado haujaamini tu kama nilikuwa DJ Zimbabwe?Dayyyyym!!!Kloro umenikumbusha mbali...haki ya nani natamani kurudi nyuma nikawaimbie wenzangu Kaaaaaaamanda yey yeeee
hivi bado haujaamini tu kama nilikuwa DJ Zimbabwe?Dayyyyym!!!Kloro umenikumbusha mbali...haki ya nani natamani kurudi nyuma nikawaimbie wenzangu Kaaaaaaamanda yey yeeee
Nasikia ulikuwa DJ wa Mugabehivi bado haujaamini tu kama nilikuwa DJ Zimbabwe?
I hate love songs!!!!
Kloroooo....umenikumbusha dedikesheni...ngoja nisikilize nimkumbuke mchumba!!
Unaitwaje mpendwa???!Jamani mimi ni mshamba wa miziki hii, lakini huu wa Jennifer Lopez (I think) aliyoutoa hivi karibuni mbona umefanana sana na wa huyu kijana?
Kila nikisikisikiliza ule naona kama maneno ni yale yale isipokuwa pale penye maneno ya kiswahili yeye ameweka na na na na na na nananananana!
siku mapigo yangu ya moyo yatapofuta
nuru itazima mfano wa nyota inapodondoka
stoweza kuamka tena macho yangu yatapofumba
safari imewadia naenda kwa baba muumba
maasela nawaachia usia
waambie ndugu na jamaa wapunguze kulia
sote tutakwenda bali mimi ninatangulia
duniani sio makazi yangu tena
niombeeni kwa mola nilazwe peponi pema
hamtoniona tena mileelee
nawaachieni majonzi teelee
buriani naagana nakata kauli
roho yangu inatolewa na izraelii
yowee la uchungu litasikika
pale roho yangu itakapokuwa inatoka
masela wangu saana nitakuwa nimefikwa
nipo kwenye jeneza tayari kwenda kuzikwa
mauti pindi yataponikabili
ni nani atakaeliziba pengo hili
kaditamati mzunguko wa damu umesimama
BURIANI NAAGA MASELAA, KWAHERINI NDUGU JAMAA NA MASELA, ZE FINEST MASELAAA, ASPIRIN MASELAA, LIZZY, AFRODENZI MASELAA, PEARL INVIZIBO MASELAAA, UPOROTO, MTM MASELAAA, NYANI NGABU MASELAAA, HUSNINYO MASELAAA, MICHELLE, BISHANGA MASELAAA, MBU, BJ MASELAAA, NYAMAYAO MASELAAA, WISELADY FIGGANIGGA MASELAAA, NAKADHALIKA MASELAAA.
BURIANI NAWAAGA MI KLOROKWINI, ALAZWE PEMA PEPONI KLOROKWINI, ALAZWE PEMA PEPONI KLOROKWINIII
itakuwa huzuni kwa ndugu na masela, safari yangu itapofika kwenda ahera
pata burudani
1.hajatulia tulia huyu demu mapepe (wa kingwendu)
2.nakupenda tu...sura kama ngumi nakupenda tu ( wa dudubaya)
3. bembeleza ( wa nani cjui?)
4.
tutakupigia siku ya harusi yako. lol