Nyimbo za mapenzi za kibongo

umenikumbusha wimbo naupenda sana mie kwenye ze bongo fleva life
Rita by Marlow
Ukweli -Maru na Vumilia..lovely
Bado Umenuna
Daima Na milele

Zilipendwa ......

Penzi Haligawanyiki-Vijana RMX
Kitambaa Cheupe .King Kikii
Hiba....DDC Mlimani
Huba ..Marquiz
:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
Nikilia nabembelezwa kwa upendoo, nae akinuna namliwaza kwa vitendoo, je wewe ulishawai kubembelezwa................................................, (Barnaba)

mwambie usimfiche bado robo saa mie nife, (Robo saa sijui ni wa Amini hii wimbo????

chukua busu, busu baby nishike hapa , hapa na pale, (Linah)
 
TUSIGOMBANE KISA MSG, Barnaba na Lina.

HELOO Maumba na hussein machozi.
Nimekuchagua wewe na Nipigie.
 
1.hajatulia tulia huyu demu mapepe (wa kingwendu)
2.nakupenda tu...sura kama ngumi nakupenda tu ( wa dudubaya)
3. bembeleza ( wa nani cjui?)
4.
 
Kloroooo....umenikumbusha dedikesheni...ngoja nisikilize nimkumbuke mchumba!!

Jamani mimi ni mshamba wa miziki hii, lakini huu wa Jennifer Lopez (I think) aliyoutoa hivi karibuni mbona umefanana sana na wa huyu kijana?

Kila nikisikisikiliza ule naona kama maneno ni yale yale isipokuwa pale penye maneno ya kiswahili yeye ameweka na na na na na na nananananana!
 
Jamani mimi ni mshamba wa miziki hii, lakini huu wa Jennifer Lopez (I think) aliyoutoa hivi karibuni mbona umefanana sana na wa huyu kijana?

Kila nikisikisikiliza ule naona kama maneno ni yale yale isipokuwa pale penye maneno ya kiswahili yeye ameweka na na na na na na nananananana!
Unaitwaje mpendwa???!
 
siku mapigo yangu ya moyo yatapofuta
nuru itazima mfano wa nyota inapodondoka
stoweza kuamka tena macho yangu yatapofumba
safari imewadia naenda kwa baba muumba
maasela nawaachia usia
waambie ndugu na jamaa wapunguze kulia
sote tutakwenda bali mimi ninatangulia
duniani sio makazi yangu tena
niombeeni kwa mola nilazwe peponi pema
hamtoniona tena mileelee
nawaachieni majonzi teelee
buriani naagana nakata kauli
roho yangu inatolewa na izraelii
yowee la uchungu litasikika
pale roho yangu itakapokuwa inatoka
masela wangu saana nitakuwa nimefikwa
nipo kwenye jeneza tayari kwenda kuzikwa
mauti pindi yataponikabili
ni nani atakaeliziba pengo hili
kaditamati mzunguko wa damu umesimama

BURIANI NAAGA MASELAA, KWAHERINI NDUGU JAMAA NA MASELA, ZE FINEST MASELAAA, ASPIRIN MASELAA, LIZZY, AFRODENZI MASELAA, PEARL INVIZIBO MASELAAA, UPOROTO, MTM MASELAAA, NYANI NGABU MASELAAA, HUSNINYO MASELAAA, MICHELLE, BISHANGA MASELAAA, MBU, BJ MASELAAA, NYAMAYAO MASELAAA, WISELADY FIGGANIGGA MASELAAA, NAKADHALIKA MASELAAA.

BURIANI NAWAAGA MI KLOROKWINI, ALAZWE PEMA PEPONI KLOROKWINI, ALAZWE PEMA PEPONI KLOROKWINIII

itakuwa huzuni kwa ndugu na masela, safari yangu itapofika kwenda ahera

pata burudani



I LOVE THIS SONG..:dance:
 
Last edited by a moderator:
1.hajatulia tulia huyu demu mapepe (wa kingwendu)
2.nakupenda tu...sura kama ngumi nakupenda tu ( wa dudubaya)
3. bembeleza ( wa nani cjui?)
4.

hahahahah lol hapo kwenye blue
nadhani huu wimbo umevunja Record
naona wengi wanaupeda sana hahahahahha lol
sante mkuu
 
Back
Top Bottom