Nyimbo za mapenzi za kibongo

Nyimbo za mapenzi za kibongo

Kuna nyimbo nyingine za mapenzi nikizisikiliza huwa natamani ningekuwa naimbiwa mimi.
Mfano wimbo wa sorry sana na daima na milele za Marlow
 
langu jichooooooooooo

kama ni mapenzi ndio haya naona bora nikimbieeeeeeeeeeeeeee,nimechoswha na vituko na vipigoooooooooooooooooo
Lizzy wenyewe si umeona kakimbia kwa aibu, unajua Lizzy ni mtoto wa bibi yangu so hatuwezi kuchumbiana, sasa alishangaa sana nilipoandika vile, dah! mimi mwenye sichanganyi mpaka mida hii, nina hakika kesho kutakuwa na kikao cha familia.
 
Nasikia Malkia kawatembela kitaa angalia tu msije mkampiga tukio mkaondoka na vitu vyake washikaji zako wa uswahilini sio kabisa
hehehe halaf nimejaza form malkia aniadopt, nikikubaliwa mtakoma hapa JF.
 
Wow!!!! mimi pia nasisimka sana na wimbo wa Maunda Zolo... Chaguo langu ni wimbo wa JUMA Nature alivo kuwa anamlalamikia Sinta!!! Kweli ukisiliza vizuri utagundua jamaaa alikuwa na hisia kali. Wadau jina limenitoka anae ukumbuka atatujuza.
 
love is blind lkn mabn macho yangu kama yameona vzr?au ni kweli sioni?poor me
Lizzy wenyewe si umeona kakimbia kwa aibu, unajua Lizzy ni mtoto wa bibi yangu so hatuwezi kuchumbiana, sasa alishangaa sana nilipoandika vile, dah! mimi mwenye sichanganyi mpaka mida hii, nina hakika kesho kutakuwa na kikao cha familia.
 
Huyu mtu aliitwa(hakujiita) jabari la muziki, there are very few people today (if any) that can fit into his shoes, he was in his own class



SIWEMA I - Dar International(Marijani)]

Siwema, usinipe mateso ya moyo,
Na sasa nimechoka, ukweli nasemaaa aah,
Nia na madhumuni yako,
nimeshavitambua siwema dada,
Najiepusha nawe, maaamaa ahaaa


Unajitapa, mbele ya rafiki zako,
Kwamba mimi sina la kusema mbele yako,
Umeniweka kwenye kiganja,
Unalotaka, ndilo ninalofanya,
Sababu wewe ni mzuri sana,
Siwezi kupata mwingine kama wewe,
Siwema dada unajidanganya.


Kibwagizo:

Nimezunguka Tanzania Bara aaah
Unguja na Pemba nimefika aaah
Nimewaona warembo wenye sifa aa
Wenye kujipamba wakapambika

Kwa hiyo unielewe hivyo dada

Sibabaishwi na sura aa
Napenda Tabia njema aa

Tabia njema ndiyo silaha kwako

Sibabaishwi na sura aa
Napenda Tabia njema aa

Kila mtu atakupenda dada

Sibabaishwi na sura .....

Usifikiri mimi limbukeni dada

Sibabaishwi na sura aaah

Kweli dada, kweli dada,

Sibabaishwi na sura aaah,
 
Mtoto sonia mimi nimekuzimia ktk kukupenda mimi nimeonyesha nia.
 
The Finest..... Nashukuru sana... yaani we acha tu.. Inaniuma sana nikifiriaaa waga nina lia.....yaani hapa nacheka tu.
Huo wimbo nikiusikiliza mwanzo mwisho huwa nacheka Juma Nature ana methali zake sijui mwenyewe huwa anazitoa wapi kuna sehemu anasema "Huyu ni mtoto wa mzee mwalubadu maarufu kwa kufua ngadu" hiyo sehemu huwa inanichekesha sana.
 
Kuna nyimbo nyingine za mapenzi nikizisikiliza huwa natamani ningekuwa naimbiwa mimi.
Mfano wimbo wa sorry sana na daima na milele za Marlow

nami nazipenda sana hizi

na ile ya beka nataman remix

zile za zamani napenda ile ......Usipate tabuuuuu Neema uliyoyafanya sio mageni hapa duniani eeeee
hata sijui inaitwaje
 
siku mapigo yangu ya moyo yatapofuta
nuru itazima mfano wa nyota inapodondoka
stoweza kuamka tena macho yangu yatapofumba
safari imewadia naenda kwa baba muumba
maasela nawaachia usia
waambie ndugu na jamaa wapunguze kulia
sote tutakwenda bali mimi ninatangulia
duniani sio makazi yangu tena
niombeeni kwa mola nilazwe peponi pema
hamtoniona tena mileelee
nawaachieni majonzi teelee
buriani naagana nakata kauli
roho yangu inatolewa na izraelii
yowee la uchungu litasikika
pale roho yangu itakapokuwa inatoka
masela wangu saana nitakuwa nimefikwa
nipo kwenye jeneza tayari kwenda kuzikwa
mauti pindi yataponikabili
ni nani atakaeliziba pengo hili
kaditamati mzunguko wa damu umesimama

BURIANI NAAGA MASELAA, KWAHERINI NDUGU JAMAA NA MASELA, ZE FINEST MASELAAA, ASPIRIN MASELAA, LIZZY, AFRODENZI MASELAA, PEARL INVIZIBO MASELAAA, UPOROTO, MTM MASELAAA, NYANI NGABU MASELAAA, HUSNINYO MASELAAA, MICHELLE, BISHANGA MASELAAA, MBU, BJ MASELAAA, NYAMAYAO MASELAAA, WISELADY FIGGANIGGA MASELAAA, NAKADHALIKA MASELAAA.

BURIANI NAWAAGA MI KLOROKWINI, ALAZWE PEMA PEPONI KLOROKWINI, ALAZWE PEMA PEPONI KLOROKWINIII

itakuwa huzuni kwa ndugu na masela, safari yangu itapofika kwenda ahera

pata burudani

 
Last edited by a moderator:
Dayyyyym!!!Kloro umenikumbusha mbali...haki ya nani natamani kurudi nyuma nikawaimbie wenzangu Kaaaaaaamanda yey yeeee
 
Back
Top Bottom