afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
Hivi mziki unashawishi watu kwa kiasi gani
kutamani kuingia kwenye mapenzi. .. maana binafsi leo
kuna wimbo nilikuwa nasilkiliza nikajikuta mawazo yangu yameenda
mbali saaanaaa.. nikajiweka kwenye position ya aliyekuwa
anaimbiwa
mfano hizi hapa
1.Hussen machozi- kwa ajili yako . http://www.youtube.com/watch?v=QzTrUuiIqVc
kama hapa hii jamaa anamwimbia girlfriend wake kwa kumujulisha anampenda sana kama haupo kwenye relashionship unatamani ungekuwepo nawe uwe unaimbia hivyo.
2. Maunda zoro.. mapenzi ni ya wawili http://www.youtube.com/watch?v=96-T-IHd4ok
Maunda Zoro anamuhakikishia mpenzi wake kwamba anampenda japo hana kitu na kila mtu anamshangaa kwa nini yuko nae. inafaa zaidi inapotokea mwenzio haamini/hajiamini kwenye mahusiano yenu
3. Prozo - Nataka Tupendane YouTube - Nataka Tupendane by Prezzo ft Kaz
hii inaonesha kwamba wapo wanaume ambao wanashukuru wenzi wao kwa kuwa nao..
Hizi ndizo baadhi ya nyimbo nizipendazo nanilivyoandika ndivyo ambavyo huwa nafikiria nikizisikilaza...
na wewe ni nyimbo gani za mapenzi za hapa hapa nyumbani unapenda na huwa unafikiria nini ukizisikiza..
AD..
kutamani kuingia kwenye mapenzi. .. maana binafsi leo
kuna wimbo nilikuwa nasilkiliza nikajikuta mawazo yangu yameenda
mbali saaanaaa.. nikajiweka kwenye position ya aliyekuwa
anaimbiwa
mfano hizi hapa
1.Hussen machozi- kwa ajili yako . http://www.youtube.com/watch?v=QzTrUuiIqVc
kama hapa hii jamaa anamwimbia girlfriend wake kwa kumujulisha anampenda sana kama haupo kwenye relashionship unatamani ungekuwepo nawe uwe unaimbia hivyo.
2. Maunda zoro.. mapenzi ni ya wawili http://www.youtube.com/watch?v=96-T-IHd4ok
Maunda Zoro anamuhakikishia mpenzi wake kwamba anampenda japo hana kitu na kila mtu anamshangaa kwa nini yuko nae. inafaa zaidi inapotokea mwenzio haamini/hajiamini kwenye mahusiano yenu
3. Prozo - Nataka Tupendane YouTube - Nataka Tupendane by Prezzo ft Kaz
hii inaonesha kwamba wapo wanaume ambao wanashukuru wenzi wao kwa kuwa nao..
Hizi ndizo baadhi ya nyimbo nizipendazo nanilivyoandika ndivyo ambavyo huwa nafikiria nikizisikilaza...
na wewe ni nyimbo gani za mapenzi za hapa hapa nyumbani unapenda na huwa unafikiria nini ukizisikiza..
AD..