raamar JF-Expert Member Joined Aug 17, 2014 Posts 252 Reaction score 23 Feb 28, 2015 #1 Hivi kila siku mnataka tuwatafute ninyi tu,mjiongeze basi na nyie khaaa,kila siki boys tu,sio poa bwana haya anzeni na mimi now.Karibuni PM
Hivi kila siku mnataka tuwatafute ninyi tu,mjiongeze basi na nyie khaaa,kila siki boys tu,sio poa bwana haya anzeni na mimi now.Karibuni PM
Apologise lady JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 5,980 Reaction score 3,115 Feb 28, 2015 #2 Makubwa haya, khaa! Kwani wewe umepotea??? Mara ya mwisho ulivaa nguo gani na ulionekana maeneo gani??????
Makubwa haya, khaa! Kwani wewe umepotea??? Mara ya mwisho ulivaa nguo gani na ulionekana maeneo gani??????
Daata JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 4,756 Reaction score 2,057 Feb 28, 2015 #3 Teh teh !!
raamar JF-Expert Member Joined Aug 17, 2014 Posts 252 Reaction score 23 Feb 28, 2015 Thread starter #4 Apologise lady said: Makubwa haya, khaa! Kwani wewe umepotea??? Mara ya mwisho ulivaa nguo gani na ulionekana maeneo gani?????? Click to expand... t-sht ya blue,jeans nyeusi na jordan za blue
Apologise lady said: Makubwa haya, khaa! Kwani wewe umepotea??? Mara ya mwisho ulivaa nguo gani na ulionekana maeneo gani?????? Click to expand... t-sht ya blue,jeans nyeusi na jordan za blue
Hoodla JF-Expert Member Joined Jul 2, 2014 Posts 284 Reaction score 98 Feb 28, 2015 #5 Apologise lady said: Makubwa haya, khaa! Kwani wewe umepotea??? Mara ya mwisho ulivaa nguo gani na ulionekana maeneo gani?????? Click to expand... Ahahahaaaaaa kujia hug
Apologise lady said: Makubwa haya, khaa! Kwani wewe umepotea??? Mara ya mwisho ulivaa nguo gani na ulionekana maeneo gani?????? Click to expand... Ahahahaaaaaa kujia hug
Samvurah JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 552 Reaction score 556 Feb 28, 2015 #6 wadada mtafuteni huyo,,,,
Gamaha JF-Expert Member Joined Jul 17, 2008 Posts 3,946 Reaction score 5,087 Feb 28, 2015 #7 Ukisikia mwanaume suruali ndio wewe, karne hii ya kuomba namba tu umemaliza, webado unalalamika huwapati
Ukisikia mwanaume suruali ndio wewe, karne hii ya kuomba namba tu umemaliza, webado unalalamika huwapati
raamar JF-Expert Member Joined Aug 17, 2014 Posts 252 Reaction score 23 Feb 28, 2015 Thread starter #8 Gamaha said: Ukisikia mwanaume suruali ndio wewe, karne hii ya kuomba namba tu umemaliza, webado unalalamika huwapati Click to expand... ungejua Gamaha hata usingekulupuka kulopoka Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Gamaha said: Ukisikia mwanaume suruali ndio wewe, karne hii ya kuomba namba tu umemaliza, webado unalalamika huwapati Click to expand... ungejua Gamaha hata usingekulupuka kulopoka
King's daughter JF-Expert Member Joined Nov 3, 2014 Posts 690 Reaction score 198 Feb 28, 2015 #9 Hahahahaha nimeishia kucheka tu! mtu anaomba atafutwe??!!
Apologise lady JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 5,980 Reaction score 3,115 Mar 1, 2015 #10 raamar said: t-sht ya blue,jeans nyeusi na jordan za blue Click to expand... Haina shida nitamuuliza miss chaga kama amekutana na wewe ukishangaa shangaa.
raamar said: t-sht ya blue,jeans nyeusi na jordan za blue Click to expand... Haina shida nitamuuliza miss chaga kama amekutana na wewe ukishangaa shangaa.