alquin maxmillian madoro
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 374
- 249
Umeona eee,dat is trueYaani pesa to some extent tu na kama utaendekeza sawa
Njoo pm, ndio utajua ukweliMi nataka wanaume wapole we unaonekana mkali akuuu
Kuna jamaa yangu ni choka mbaya tu,ana maneno matam sana yule na huwa hashindwi,Umeona eee,dat is true
Njooo huku moyo wang umejawa na joto kal la upweke na wewe ndo chem chem za maji barid nakuitaj uiokoe nafsi yangu. Kuja mama ntakuita jina jipya banana mongersMi nataka wanaume wapole we unaonekana mkali akuuu
Yeah hivyo ndo inatakiwa ,mwanaume kuonyesha ujasiri na uhalisia wa maisha yake,utakuta wengine kuongea hawajui kwa mademu afu pia uhalisia wa maisha yao wanaficha ,,mwanaume rijali anajiamini ,kwanza anajua kupanga maneno akiwa na mwanmke na vilevile anajiamini na hali ya kimaisha aliyonayoKuna jamaa yangu ni choka mbaya tu,ana maneno matam sana yule na huwa hashindwi,
Now ana dem ana mtoto,mtoto yupo na mama kwakua dem anajua jamaa choka mbaya wala hamsumbui,jamaa akipata anapeleka.Dem anamhudumia mwanae fresh na anampenda jamaa,
That guy anajua kuimbisha
Show her reality, u will win herYeah hivyo ndo inatakiwa ,mwanaume kuonyesha ujasiri na uhalisia wa maisha yake,utakuta wengine kuongea hawajui kwa mademu afu pia uhalisia wa maisha yao wanaficha ,,mwanaume rijali anajiamini ,kwanza anajua kupanga maneno akiwa na mwanmke na vilevile anajiamini na hali ya kimaisha aliyonayo
YeahShow her reality, u will win her
Panga maneno fresh,wanawake watu wa doubt ila huziclear wenyewe kila wanapowaza
simepaliwa na matePole mwaya. Haujapaliwa!
Kimbilia pm maji usije ukafwariki.simepaliwa na mate
hu hu huuuu najaaKimbilia pm maji usije ukafwariki.
Koh koh ngoja na mm nikanywe.