Nyie wanaume mna maneno mazuri kweli

Yeah hivyo ndo inatakiwa ,mwanaume kuonyesha ujasiri na uhalisia wa maisha yake,utakuta wengine kuongea hawajui kwa mademu afu pia uhalisia wa maisha yao wanaficha ,,mwanaume rijali anajiamini ,kwanza anajua kupanga maneno akiwa na mwanmke na vilevile anajiamini na hali ya kimaisha aliyonayo
 
Show her reality, u will win her
Panga maneno fresh,wanawake watu wa doubt ila huziclear wenyewe kila wanapowaza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…