Nyie Wachaga hii ni sifa sasa

kyanyangwe

JF-Expert Member
Oct 31, 2018
1,147
2,746
Wakuu kwema?

Nimepata safari ya ghafla ya kwenda Moshi ambapo nilitakiwa kuhudhururia shughuli fulani huko kesho kutwa, cha ajabu nimeenda hapo Ubungo nimekuta mabasi yote yamejaa mpaka tarehe 24 mwezi huu.

Nikajipa matumaini ngoja nikakate ticket ya train, napo nimekuta train iko fully mpaka tarehe 24 mwezi huu, basi nikasema ngoja nivunje kibubu ili walau nichukue mwewe, lakini napo kila nikiangalia Air Tanzania, Precision Air na Auric Air na zenyewe ziko fully hadi tarehe 24.

Hapo ikabidi nikae chini kwanza nitafakari, hawa ndugu zetu Wachaga huko kwao wanaenda kufanya nini kikubwa mpaka usafiri unakuwa wa shida namna hii?

Nikaona nimpigie jamaa yangu fulani hivi kumuulizia kama anaweza kuniunganisha na agent yoyote wa mabasi akaniambia maagent anaowajua wote nao wamesharudi kwao Moshi, basi nikaona nidandie usafiri wowote tu, kwa hiyo sasa hivi niko hapa Rombo Kimara navizia Fuso zinazoelekea huko ili niondoke.

Aisee nyie Wachaga noma sana.
 
halafu nyie wachaga siku hizi sijui mmekuaje,mmekua na misifa kama wahaya,wewe mleta mada utakua ni mchaga umeamua kuuleta huu uzi hapa makusudi ili kurusha watu roho tu..eti flights zote zimejaa, nimetoka kwenye website ya air Tanzania sasa hivi,seat ziko kibao tu. usitake kuhadaa umma.
 
halafu nyie wachaga siku hizi sijui mmekuaje,mmekua na misifa kama wahaya,wewe mleta mada utakua ni mchaga umeamua kuuleta huu uzi hapa makusudi ili kurusha watu roho tu..eti flights zote zimejaa, nimetoka kwenye website ya air Tanzania sasa hivi,seat ziko kibao tu. usitake kuhadaa umma.
mtu ukisema ukweli,unaitwa mpenda sifa.wabongo tuna matatizo sana kwa kweli
 
Ni kweli kuna jirani yangu alienda kukata ticket bus J3 ya tarehe 16 Dec alikosa basi akapata mabasi kesho tarehe 23 Dec. Wenye pesa wanaenda kula na wa kwao na kwenda kuimarisha uchumi wa kwao. Hiyo multiplier effect ya Expenditures. Keep it up shem zangu.
 
Ni kweli kuna jirani yangu alienda kukata ticket bus J3 ya tarehe 16 Dec alikosa basi akapata mabasi kesho tarehe 23 Dec. Wenye pesa wanaenda kula na wa kwao na kwenda kuimarisha uchumi wa kwao. Hiyo multiplier effect ya Expenditures. Keep it up shem zangu.
bora umenisaidia mkuu,maana niliishaanza kuonekana natafuta sifa humu
 
Nimekuja home nikakuta jirani yetu mchaga kabeba watoto wote kawapeleka Rombo, kamuacha mumewe mgogo maskini hana sauti juu ya mke. Ukilinganisha uwezo wao kiuchumi ni maskini, wanakula mlo mmoja kwa siku (ninachosema namaanisha). Na ni tabia endelevu hii kila mwaka anafanya hivi. Mume ambaye kwao Dodoma anamchukuaga mtoto mmoja na kwenda nae na hakawii kule, huyu mke anakusanya wote. Mke kama huyu si bora niwe single tu

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Huu ni ukwel kabsaa Mimi ni shahidi nimepata usafir wa tareh 24 achana na hao komba wanaosema Wewe ni Muongo mkuu
Watu ni wengi Sana hili linajulikana hata na serikali inajua mwez huu wale jamaa wanarud kwao tangu miaka mingi Ndiyo utamaduni wao Ndiyo maana wamepewa train

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan alilazimishwa kuoa mchaga huko kwao hakuna wanawake
Au ni shoboo tuu anataka??
Arudi kwao na yeye
Asilimia 95 ya matatizo yanayo wapata binadamu wamajitakia wenyewe
Pumbavu kabsaa
Hata maandiko yanasema oa wa nyumban kwenu
Nimekuja home nikakuta jirani yetu mchaga kabeba watoto wote kawapeleka Rombo, kamuacha mumewe mgogo maskini hana sauti juu ya mke. Ukilinganisha uwezo wao kiuchumi ni maskini, wanakula mlo mmoja kwa siku (ninachosema namaanisha). Na ni tabia endelevu hii kila mwaka anafanya hivi. Mume ambaye kwao Dodoma anamchukuaga mtoto mmoja na kwenda nae na hakawii kule, huyu mke anakusanya wote. Mke kama huyu si bora niwe single tu

Sent from my PBCM30 using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani lazima kwenda kwa pamoja Kama nyumbu wanavyohama kati ya Kenya na Tz.
Wewe Kama umeasi kwenu baki hapo hapo ulipo
Maana hata hujajenga kwenu kwa hiyo unafikiri utaenda kulala wap Choo cha shimo nyumba ya nyasi
Usionee wenzako wivu nenda kwenu
Mwaka unaishi hujaenda kwenu Au Ndiyo Wazee wa ushirikiana uchawi Eeh waganga lami ipo Mkoan tuu

Achen ujinga jenga kwenu Uwe unaenda huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Kama umeasi kwenu baki hapo hapo ulipo
Maana hata hujajenga kwenu kwa hiyo unafikiri utaenda kulala wap Choo cha shimo nyumba ya nyasi
Usionee wenzako wivu nenda kwenu
Mwaka unaishi hujaenda kwenu Au Ndiyo Wazee wa ushirikiana uchawi Eeh waganga lami ipo Mkoan tuu

Achen ujinga jenga kwenu Uwe unaenda huko

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka una miezi 12. Kwenda nyumbani December tu kwa pamoja hakuna tofauti na kitendo maarufu pale North Mara.
 
Nimekuja home nikakuta jirani yetu mchaga kabeba watoto wote kawapeleka Rombo, kamuacha mumewe mgogo maskini hana sauti juu ya mke. Ukilinganisha uwezo wao kiuchumi ni maskini, wanakula mlo mmoja kwa siku (ninachosema namaanisha). Na ni tabia endelevu hii kila mwaka anafanya hivi. Mume ambaye kwao Dodoma anamchukuaga mtoto mmoja na kwenda nae na hakawii kule, huyu mke anakusanya wote. Mke kama huyu si bora niwe single tu

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
Ukitaka kufa haraka oa mchaga
 
Back
Top Bottom