Nyie vipiiii ,Mnataka kubadilisha Katiba?

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Katiba haiwezi kubadilishwa ikiwa mhusika mmoja hayupo,ni lazima wadau wote wawepo ili mabadiliko ya Katiba yafanywe ,tunafahamu fika kuwa katiba iliyopo haifai kwa vigezo vingi tu kimoja ni hicho cha kutokuwemo mhusika mmoja.

Kwa maana hiyo ni lazima TANGANYIKA iwepo ili mabadiliko yafanyike ,kwa maana hiyo ni lazima uwepo wa serikali tatu,sanjari na mabadiliko hayo Zanzibar na Tanganyika kwa maana ya serikali ziwepo ili kuunda na kuikubali Katiba hiyo,nijuavyo Katiba iliyopo iliundwa kutokana na kuwepo kwa serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar ,sasa leo vipi Katiba hii itawezza kubadilishwa bila ya kuwepo kwa serikali ya Tanganyika ?

Ni bora ipendekezwe serikali ya mpito ya Tanganyika ili kuruhusu mabadiliko makubwa ya katiba ,naomba kuwasilisha hoja !!
 
Katiba haiwezi kubadilishwa ikiwa mhusika mmoja hayupo,ni lazima wadau wote wawepo ili mabadiliko ya Katiba yafanywe ,tunafahamu fika kuwa katiba iliyopo haifai kwa vigezo vingi tu kimoja ni hicho cha kutokuwemo mhusika mmoja.

Kwa maana hiyo ni lazima TANGANYIKA iwepo ili mabadiliko yafanyike ,kwa maana hiyo ni lazima uwepo wa serikali tatu,sanjari na mabadiliko hayo Zanzibar na Tanganyika kwa maana ya serikali ziwepo ili kuunda na kuikubali Katiba hiyo,nijuavyo Katiba iliyopo iliundwa kutokana na kuwepo kwa serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar ,sasa leo vipi Katiba hii itawezza kubadilishwa bila ya kuwepo kwa serikali ya Tanganyika ?

Ni bora ipendekezwe serikali ya mpito ya Tanganyika ili kuruhusu mabadiliko makubwa ya katiba ,naomba kuwasilisha hoja !!


Mmmmmh! ndugu!
 
Serikali ya Tanganyika ipo wewe, ila ili iweze kumuoa Zanzinbar kirahisi imejikunyata na kujifanya haipo. Ndio hiyo hiyo inayowachagulia marais wenu.
Wewe mwiba nyie mlishapata katiba yenu. Wacha sie tupambane kwa ajili ya yetu kisha tutawaita tukae tuunde yetu wote. damn't!!!!!!
 
Katiba haiwezi kubadilishwa ikiwa mhusika mmoja hayupo,ni lazima wadau wote wawepo ili mabadiliko ya Katiba yafanywe ,tunafahamu fika kuwa katiba iliyopo haifai kwa vigezo vingi tu kimoja ni hicho cha kutokuwemo mhusika mmoja.

Kwa maana hiyo ni lazima TANGANYIKA iwepo ili mabadiliko yafanyike ,kwa maana hiyo ni lazima uwepo wa serikali tatu,sanjari na mabadiliko hayo Zanzibar na Tanganyika kwa maana ya serikali ziwepo ili kuunda na kuikubali Katiba hiyo,nijuavyo Katiba iliyopo iliundwa kutokana na kuwepo kwa serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar ,sasa leo vipi Katiba hii itawezza kubadilishwa bila ya kuwepo kwa serikali ya Tanganyika ?

Ni bora ipendekezwe serikali ya mpito ya Tanganyika ili kuruhusu mabadiliko makubwa ya katiba ,naomba kuwasilisha hoja !!
Mkuu,

Wengi humu JF watakuona wewe ni chizi, lakini umekumbushia kitu muhimu sana.
Mimi niliwahi kuandika kuhusu mada hii https://www.jamiiforums.com/katiba-mpya-tanzania/85631-new-movement-needed-mabadiliko-ya-katiba-uzalendo-25.html#486 kwa nia hiyo hiyo, kutanabahisha kuwa it is not that simple as it seems.Ugumu unazidi, Hasa ukitilia maanani kauli za Viongozi wastaafu, wana CCM na Pinda.

Naona watu wamejawa na hisia kali na ushabiki kulikoni kupanga mkakati madhubuti wa vipi itapatikana katiba Mpya, time frame, nani ata-coodinate nguvu za vyama, taasisi,asasi na wananchi wanaotaka katiba mpya.

Kila chama kinachukulia hoja hii kama njia ya kujipa ujiko. Labda vumbi likitulia wataona haja ya kuunganisha nguvu, mawazo na wataalamu wa mambo ya katiba ili kuanza rasmi kuonesha njia kule tunakotaka kwenda. Sasa hivi ni fujo tu, ni kelele tu, mayowe tu , kila mtu, katiba mpya, katiba mpya.

We need more than kupiga kelele ! Now it is time for Actions, well thought and well coordinated actions!
 
Katiba haiwezi kubadilishwa ikiwa mhusika mmoja hayupo,ni lazima wadau wote wawepo ili mabadiliko ya Katiba yafanywe ,tunafahamu fika kuwa katiba iliyopo haifai kwa vigezo vingi tu kimoja ni hicho cha kutokuwemo mhusika mmoja.

Kwa maana hiyo ni lazima TANGANYIKA iwepo ili mabadiliko yafanyike ,kwa maana hiyo ni lazima uwepo wa serikali tatu,sanjari na mabadiliko hayo Zanzibar na Tanganyika kwa maana ya serikali ziwepo ili kuunda na kuikubali Katiba hiyo,nijuavyo Katiba iliyopo iliundwa kutokana na kuwepo kwa serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar ,sasa leo vipi Katiba hii itawezza kubadilishwa bila ya kuwepo kwa serikali ya Tanganyika ?

Ni bora ipendekezwe serikali ya mpito ya Tanganyika ili kuruhusu mabadiliko makubwa ya katiba ,naomba kuwasilisha hoja !!

Wewee jiangalie unapo kula na kipofu usimshike mkono katiba ya zenj kubadilishwa bila TANGANYIKA SAWA ila sasa sio sawa mmegeuza TANGANYIKA Koloni lenu mmeanza wenyewe sasa tulia TANGANYIKA Ifanye vituuu... tulia unyolewe bila maji kama mfanyavyo mwanangu Wee vipi kunya anyege kuku akinya bata Kaharisha mhhh Habari ndiyo hiyo
 
Back
Top Bottom