Nyie mmemuelewa mama ?


Ushoga ni kosa la jinai sio haki za binadamu. Tuache kuendekeza uchafu wa wazungu.
 
Tatizo Una assumptions zako kichwani ndio maana hata ukiambiwa ukweli huwezi kuelewa

Ukweli upi? Wewe ndio umeleta tafsiri yako kichwani na kulazimisha tuikubali. Rais kasema wakubwa fanyaneni ila msiwalegeze watoto. Wewe unatuletea tafsiri yako ya chumbani. Kiufupi Rais karuhusu ushoga kwa wakubwa.
 
Hii kauli ni sawa kabisa, hivi karibuni kumekuwa na jitihada za kuinculcate huu ujinga kwa watoto hasa,kwenye boarding schools,kumbi za muziki na majumbani kwa kuwa tu mtoto anakuwa bado hajawa na maamuzi wenyewe,ukiangalia hata mashoga wengi watakuambia walifundishwa wakiwa wadogo hivyo kisaikolojia hawezi tena kuacha.hivyo basi tukitaka kuondokana na hili tatizo tuwalinde watoto wetu sana,hiyo ndio maana ya Rais, haya majitu mazima yanayojitambua yenyewe yaachwe yatakutana na mkono wa sheria.maneno mengine yeye ni mzanzibari,kiswahili na utani ndio hulka yao so muwe mnachambua hotuba wazee.Kwani hata JPM alikuwa anaingiza utani sana ila nia inakuwa njema
 
Tatizo wanajitangaza wazi wazi kupitia media n.k.
 
Point kubwa sana Mkuu.
 
Nimekuuliza,wewe binafsi unathirika vipi na kitu ambacho hakikuhusu?

Watu wameamuakufanyana wanavyotaka wenyewe, miili yao, wao watu wazima, wamekubaliana.

Nakuuliza, unaishia kunijibu something must be wrong na mifano isiyoeleweka.

Kwenyemasualaya kisiasa nakwambia tushasaini mikataba ya kimataifa ya kutetea haki a mashoga, sasa kama hatuzitaki, kwa nini tuli sign?

Mila na utamaduni ni weak argument, kwa sababu kwanza hatujakubaliana mila na utamaduni, pili mila na utamaduni zinabadilika, zamani tulitahiri wanawake, siku hizi tunaacha.

Hujtoa sababu nzuri za kukataza ushoga kwa watu wazima walioamua wao wenyewe kuwa mashoga.
 
Ushoga ni kosa la jinai sio haki za binadamu. Tuache kuendekeza uchafu wa wazungu.
Ushoga ni nini kwanza? Mana tusibishane kuhusu ushoga kumbe hujui hata ushoga ni nini.

Watanzania wengi wanahusisha ushoga na tendo la wanaume kufirana au wanawake kusagana.

Unaposema ushoga ni kosa la jinai unamaanisha nini? Sodomy?

Unaelewa sodomy mtu mume anaweza kumfanyia hata mkewe?

Ndiyo unamanisha hiyo?
 
Mama kakulia kwenye utamaduni huo huko zanzibar. Toka akiwa msichana anayasikia hayo. Mzee Juma kamkaza Abdul. Kwa hiyo si kitu kigeni.

Sie wabara haya mambo ni mageni na pengine yametokea zenji huko huko. Miaka ya zamani tuliwaogopa sana wapemba na watu kutoka Mombasa. Ilikuwa tusi kubwa kumuambia mtu nitakupeleka Mombasa au Lamu. Tuliyasikia tu kutokea kanda hizo.

Hizo ni kanda alizokulia mama. Kwa hiyo bado anaamini hayo mambo yanaweza fanywa ila wafanye wakubwa kwa wakubwa. Sio wakubwa kuwafanya watoto.

Lakini mama anashindwa kuelewa kuwa haya mambo huanzia utotoni, ukubwani ni muendelezo tu. Hakuna anayeanzia ukubwani. Labda iwe fumanizi la mke wa mtu.
 
Na watu wazima wanao amua kujiuwa nao waachwe wajiuwe, maana wameamuwa wao Kama watu wazima!!
 
Mkuu huyu usimjibu tena tumeshajua yeye ni nan hasa.
Anatoa hoja za ovyo mno afu anataka wenye akili tumuelewe kirahisi.
Yeye anaamini kila jambo linaloanzishwa na mataifa ya magharibi kwa kisingizio cha Haki za binadamu ni jambo jema ovyo kabisa hili dubwana.
 
Ashki zinaanza katika umri ambao bado wanatambulika kama watoto lazima wapewe muongozo, kwahiyo hatuwezi kusema hili jambo halihusu watoto. Hapa ni mwanzo tu bado wanataka waingize hayo mambo kwenye mitaala yetu, watoto wako targeted, wanakataa hamna agenda lakini ni wazi agenda ipo. Viongozi wetu wamefeli.
 
Nashangaa eti mambo ya faragha, sasa huku nje yamefikaje?
 
Kwa hiyo unawashauri wanaojiuuza na wanaotumia madawa ya kulevya nao wa apply Mikataba ya kimataifa ili kutetea haki zao! pia!?
 
Kwa hiyo unawashauri wanaojiuuza na wanaotumia madawa ya kulevya nao wa apply Mikataba ya kimataifa ili kutetea haki zao! pia!?
Sina tabia ya kutoa ushauri ambao sijaombwa, kwa watu nisiowajua, kwenye mambo nisiyoyafahamu.

Hizi ni tabia ambayo nimeona Watanzania wengi wanayo, lakini mimi naikwepa.
 
Mbona M7 na Ruto wana uthubutu wa kusema wazi kuwa hawataki ushoga kwenye nchi zao?
Sisi kama nchi tunaweza kusema tu kuwa haki za binadamu tunakubali, lakini kipengele cha ushoga ni HAPANA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…